Recent content by ukwelingumu

  1. U

    Magari ya mizigo kutoka Kenya yazuiwa kuingia Tanzania kupitia mpaka wa Horohoro (Lungalunga)

    Kabisa. Kama matokeo ya mahabara yetu ni mbaya, ingefaa angejaribu kuirekebisha na siyo kuwacha mambo nakusema hakuna Corona Tanzania
  2. U

    Magari ya mizigo kutoka Kenya yazuiwa kuingia Tanzania kupitia mpaka wa Horohoro (Lungalunga)

    Pigana na Corona. Hii siyo wakati wakujigamba na kujipigia Kifua.
  3. U

    Magari ya mizigo kutoka Kenya yazuiwa kuingia Tanzania kupitia mpaka wa Horohoro (Lungalunga)

    Swala hili sio simple vile unavyoisema. Kwanza, Kenya haikufunga Mipaka ila inawarudisha wale wanopiwa na kupatika na hiyo ugojwa pasipo jali wanatoka nchi ngani. Kama ni kuiga vile nchi zingine zinavyofanya, ,mbona wasipime wale wanaokuja Tanzania na kuwarudisha wakipatikana na maradhi pasipo...
  4. U

    Magari ya mizigo kutoka Kenya yazuiwa kuingia Tanzania kupitia mpaka wa Horohoro (Lungalunga)

    Tanzania leader says virus cases down despite U.S. warning
  5. U

    Magari ya mizigo kutoka Kenya yazuiwa kuingia Tanzania kupitia mpaka wa Horohoro (Lungalunga)

    Hiyo ni kulipiza kisasi yenye haiko. Kwa nini mukubali madereva wengine wenye wanaelekea nchi zingine lakini muzuiye wakenya pekee yake. Kwani wale wengine hawezi kuwaambukiza Corona?
  6. U

    Magari ya mizigo kutoka Kenya yazuiwa kuingia Tanzania kupitia mpaka wa Horohoro (Lungalunga)

    Moto ni Corona. Stop losing focus. Hii sio wakati wakujipiga Kifuaa
  7. U

    Magari ya mizigo kutoka Kenya yazuiwa kuingia Tanzania kupitia mpaka wa Horohoro (Lungalunga)

    Kama Rais mwenyewe amekataa statistics za Tanzania kutoka kwa laboratory ya nchi yake, atakubali za kenya kweli. Finger pointing and blame game iko mingi tanzania. Tuwache kudanganyana
  8. U

    Makala: Haya ya Rose Muhando ni mapito au anguko?

    Yeye Mwenyewe nadi ya Roho yake anjua ni nini alichotendea Mungu. Hi sio jmabo eti kufurahisha watu au kuonyesha watu mabo bali amtuafute Mungu wake, kisha atubu
  9. U

    Makala: Haya ya Rose Muhando ni mapito au anguko?

    Rose anapata kiboko kutoka Kwa Mungu. Anahitaji atule bila kuenda hapa na pale Kisha amtafute yule Mungu wake na atubu dhambi zake
  10. U

    Makala: Haya ya Rose Muhando ni mapito au anguko?

    Yule Mhubiri twamjua. Tapeli tena Mlevi. Hako na Kesi Kortini ya kumgoga Mtu kwa gari akiwa mlevi "Pastor Ng'ang'a is an Abusive and Adulterous Drunk" His Wife Alleges - Mpasho News
  11. U

    Hatua hii ya Kenya itaiimarisha EAC

    Hatred (or hate) is a deep and emotional extreme dislike that can be directed against individuals, entities, objects, or ideas. Hatred is often associated with feelings of anger and a disposition towards hostility. Commonly held moral rules, such as the Golden Rule, oppose universal hatred...
  12. U

    KDF considered strongest, most disciplined army in the world.

    Thank you Brother.Dont strive to be with the Majority but rather with the Truth.Stand alone na hiyo ni ukweli mtupu hata wale wanaongea wanajua hiyo!
  13. U

    Rwanda, Kenya, Uganda to Build Super-Highway parallel to the planned railway

    This is what we are talking about.You know what? We have to succeed even if it is just to prove a point to our neighbor.There are no two ways about it
Back
Top Bottom