Recent content by Ukweli Unaponya

  1. Ukweli Unaponya

    CCM wafanyia mkutano kituo cha polisi

    The sign of victory>>>> 2015
  2. Ukweli Unaponya

    Rais Kikwete, Obama asije kukushauri ndoa za jinsia moja ukakubali

    US President Barack Obama has called on African governments to give gay people equal rights by decriminalising homosexual acts. Mr Obama made the comments in Senegal after meeting President Macky Sall on the first leg of his African tour. Mr Sall said Senegal was a "very tolerant" country...
  3. Ukweli Unaponya

    Mbunge Joseph Mbilinyi (Sugu) ashikiliwa na Polisi Dodoma!

    Yaani hii nchi ni kituko kuliko vituko vyenyewe yaani nashindwa kushangaa mpaka bwana kushangaa ananishangaa yeye. Ni nchi ambayo ina mali asili ya watu wengi wajinga wana sifa hizi na hawajui kama ndivyo wanavyoonekana; -Hawawezi au hawataki kufikiri,nzi wanatumia zaidi ubongo wao kuliko wao...
  4. Ukweli Unaponya

    Mtikila has extreme genocide ideology, says Kagame

    Mimi huwa naumia sana tena sana sana,tuko kwenye matatizo makubwa sana sisi kama wana-nchi wa Tanzania na serikali yetu,serikali vs chadema,chadema vs ccm,wanaharakati vs serikali,haki za binadamu vs srikali,in short ni 'joto hasira' kama asemavyo mwana dada Lady Jaydee.Now,badala ya kuelekeza...
  5. Ukweli Unaponya

    CUF yaomba kuongoza kambi rasmi ya upinzani bungeni

    CUF sasa wamekuwa kama panya paka akitoka wanataka kutawala,wamesahau kama wenzao cdm kwanini hawako bungeni, wamesahau kuwa kuna sheriia zinazosimamia uwepo a kambi ya upinzani bungeni,wamejisahaulisha kwamba hawana uwezo wowote hata kama wakipata baraka za spika kuunda kambi ya upinzani...
  6. Ukweli Unaponya

    Hali ni Tete, Mabomu Yameanza Kurushwa Tena Jijini Arusha

    Haujielewi hata kidogo,inamchukuwa mda mrefu mjinga kuelewa lakini taratibu ipo siku utaelewa hata wenzio walikuwa kama wewe
  7. Ukweli Unaponya

    Hali ni Tete, Mabomu Yameanza Kurushwa Tena Jijini Arusha

    Tumia akili zako sawa sawa kama unazo kwa kuwa hata inzi ana ubongo
  8. Ukweli Unaponya

    Alinikimbia kwa sababu ya shule, sasa anataka turudiane

    Binadamu ambae hajawahi kufanya makosa basi ujue hajawai kufanya chochote katika maisha yake,kukiri makosa na kuomba msamaha ndiyo jambo muhimu zaidi katika maisha...ukianza kujifanya mtabiri wa maisha yako au ukategemea utabiri wa watu kuhusu maisha yako hasa ya mapenzi aisee kila mara utakua...
  9. Ukweli Unaponya

    Kicheko cha mwisho cha mama yangu

    pole sana ndugu yangu...
  10. Ukweli Unaponya

    Kicheko cha mwisho cha mama yangu

    Kisa cha kweli.. Tayari kwa kulazimishwa nimekuwa yatima,nilikuwa kwenye msiba wa rafiki yangu mkubwa Mama yangu.ALIPIGANIA maisha yake vya kutosha lakini ugonjwa wa kansa ya matiti ukamshinda nguvu na kumuua na hakuna cha kufanya. Moyo wangu ulikuwa unauma sana na mara kadhaa...
Back
Top Bottom