Recent content by ukwei

  1. U

    Mbunge Godbless Lema akamatwa na polisi

    Isije ikawa ni kwa amri ya Ndugu yake...Mkuu wa Mkoa....nimefikiria tu.
  2. U

    UKUTA ni Mkakati wa CHADEMA kuizuia Serikali isifanye kazi yake

    Hamuezi fanya maendeleo kwa kutishian...wew unasema maandamano yanalengo la kufanya serikali isifanye kazi yake kwani wamesema wanafanya maandamano yasio na kikomo.Wakati raisi anazunguka kuwashukuru wapiga kura wapi uliskia maeneo aliopita watu wanalalamika hawakufanya kazi au mapato ya...
  3. U

    UKUTA ni Mkakati wa CHADEMA kuizuia Serikali isifanye kazi yake

    Hii nchi nafikiri inamatatizo makubwa kifikra
  4. U

    Kwanini wanaCHADEMA wamekuwa hivi?

    Hii nchi nafkiri tunahitaji maombezi
  5. U

    Jeshi la Polisi lapiga marufuku mikutano yote ya ndani na nje ya vyama vya siasa

    Kwa kweli anajua Mungu tu....hv uchunguzi wa hilo tukio la mauwaji ulifanyika lini??...nyie Polisi .Mbona kaa vile bila hata ya uchunguzi tayari mumeshaapata wahalifu...eti mnalihusisha na UKUTA...Je nasie wananchi tukiwa na hisia upande wa pili mtasemaje??.Hatuwezi ruhusu kucheza ma maisha ya watu.
  6. U

    UKUTA Dar kuanza tarehe 27

    Kaaazi kweli
  7. U

    DAR: Askari Polisi wanne wauawa na raia 2 wajeruhiwa, silaha zaporwa!

    Roho za marehemu zipumzike kwa amani.Mungu awape faraja na nguvu familia zao.Kwa upande wa Jeshi letu lazima mjipange haiwezekani mnafanya maandalizi ya nguvu kubwa kupambana na raia wema wanaotaka andamana kwa amani tena kwa kufuata sheria za nchi mshindwe kupambana na kibaka mpaka anawapokonya...
  8. U

    DAR: Askari Polisi wanne wauawa na raia 2 wajeruhiwa, silaha zaporwa!

    Kama ni kweli tukio limetokea na askari wetu wepoteza maisha...Basi Mungu aziweke Roho zao mahala pema peponi.Na ndugu zao pamoja na familia zao watoto,Mke na wazazi awatie faraja na nguvu katika kipindi hiki kigumu.Kwa upande wa majeshi yetu hii ni aibu na fedheha kubwa huwezi kujiandaa...
  9. U

    Anna Mghwira: CHADEMA wanaona wivu Rais Magufuli kushughulikia walichosimamia wao

    Ndugu unaandika unamaanisha au unatoa mahasira yako ya kugombana na nduguzo
  10. U

    Prof. Lipumba: Sihusiki na vurugu zilizotokea katika mkutano wa CUF

    Kwa kweli Lipumba na mimi amenishangaza sana sana...wakati anajiuzulu hakuna hata mwanachama wa CUF aliemshawishi ilikua ni utashi wake.Na kipindi alichoondoka cha uchaguzi ni kipindi ambacho msaada wake mkubwa ulikuwa unahitajita ili kuweza kufanya chama cha cuf kiweze kufanya vzuri kwenye...
  11. U

    Ujumbe wa siri unaodhaniwa ni wa Freeman Mbowe wasambaa mitandaoni

    Ni taarifa ya kawaida tu!!!......hamna kitu cha siri apo.Endelea tu kufukua mkuu ulete hata nyeti za mafisadi ndani ya UVCCM
  12. U

    Maalim Seif ajibu tuhuma za kumsaliti Abdu Jumbe

    Mambo ya kusalitiana kwenye siasa haya yapo tu.Hata Msukuma alimsaliti Lowasa mchana kweupeeee!!!!.Tumuache mzee akapumzike kwa Amani kama angetaka kuweka mambo hadharani angeandika kwenye kitabu chake.Hajaandika basi tusonge mbele
  13. U

    Ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Chato: Serikali yatangaza tenda

    Na sisi lazima tupambane kijijini kwetu lazima atoke Rais.Naapa haki ya Mungu haiwezekan, haiwezekan.
  14. U

    Mrema: Kwa maandalizi yanayofanyika Magerezani, vijana msithubutu kuandamana

    Hamjui bosi wake vzuri.....ameambiwa akapige kazi yeye anaenda kuangalia maandalizi Gerezan
Back
Top Bottom