Recent content by Ukuta wa Yeriko

  1. Ukuta wa Yeriko

    Nampa kila kitu lakini anatoa penzi kama karanga

    Nenda tafuta huruma kwingine,wanaume wakamilifu hatukufanani kabisa. Hapa ni jf tunaburudishana,elimishana n.a. hatutapeliani kwa Maneno.
  2. Ukuta wa Yeriko

    Wanaume waja na mbinu ya kijambazi kukabiliana na wadada wanaojibebesha mimba kufosi ndoa

    Okey new abandoning strategy,wataozaliwa ndio wakomaliwa DNA,ili invested manzi awe safe,FOR the God who is alive, shall the man's poor wisdom & authority survive forever ?
  3. Ukuta wa Yeriko

    Wanawake tuache kujioa, maisha mengine yanawezekana pia

    Mwanamme halisi hulali kwa mkweo,huajiriwi kwa mkeo,hulishwi n.a. mkeo,ndio wale unaishia kudandia wadada wenye hela mjini.Usubiri mke achune up one hapo. NDIO mpaka mnapata dhihaka za kutunziwa wake,watoto na wanaume wenzenu,ni kujishushia heshima. Hakuna dharau mbaya km mwanamme mwenzio...
  4. Ukuta wa Yeriko

    Wanawake tuache kujioa, maisha mengine yanawezekana pia

    Hakika umenena hakuna jinsi atalikwepa hilo,kwa sababu kama anaweza kujenga nyumba ni wapi kuwa hata mahari isingemshinda.Wanaume tunajitakia laana sana kwetu n.a. hata vizazi yetu. Kwa sasa Nashauri huyu mama kwa vyovyote alivyojitoa asiweke focus yake kwenye tatizo ambalo limeshatokea kwa...
  5. Ukuta wa Yeriko

    Wanaume waja na mbinu ya kijambazi kukabiliana na wadada wanaojibebesha mimba kufosi ndoa

    Imaginations... magical words...... Curse Entertainment...... Team Curse.... An appeal
  6. Ukuta wa Yeriko

    Kubadili majina ya cheti cha kuzaliwa

    KWA kweli sifikiri kuota rushwa kwa mtu yeyote au taasisi.
  7. Ukuta wa Yeriko

    Kubadili majina ya cheti cha kuzaliwa

    Saws,unamaanisha kuwa vikahitajika utavitambulisha n.a. hata utakayopewa.
  8. Ukuta wa Yeriko

    Kwanini kulaumiana wanawake/wanaume katika suala la ndoa?

    Sababu za kulaumiana ni nyingi,na inahitaji hekima ya mungu kuwaonyesha walaumu kuwa wewe ni mfano,vinginevyo wake kwa waume katika ndoa zitakuwa moto kila siku -Kuhukumu :Matendo 28:1-6 -Kuongopa Ufunuo 20;7-8 -Kukata tamaa ya maisha-Numbers 32:6-10 _Hasira za machungu ya ndoa/mwenzi...
  9. Ukuta wa Yeriko

    Kubadili majina ya cheti cha kuzaliwa

    Wanajamii nahitaji kubadili majina yote matatu kwenye nyaraka kama Cheti cha kuzaliwa,Ubatizo,vitabulisho vya benki etc.Ningependa kufahamu njia fupi na isiyokuwa mlolongo au kuchukua muda mrefu. Au kama kuna Uzi ambayo umeshawahi kuweka hapa Wenye kuota ufafanuzi ningependa mwenye ufahamu...
  10. Ukuta wa Yeriko

    Itambue tabia yako ya leo

    Mkuu nimejaribu kuweka kwa ufupisho.
  11. Ukuta wa Yeriko

    Itambue tabia yako ya leo

    Kwanini ujione usiyefaa na uliyejaa mabaya tu? Badala ya kutazama yale yaliyo mabaya na yakushindwa katika historia yako, tazama mafanikio. Kila binadamu ana kitu chema ndani yake. Ukishajua vitu hivyo, angalia kama vitu hivyo vilifanywa na mtu baki, usiyemjua ,unayemjua n.k.je utasema yeye ni...
  12. Ukuta wa Yeriko

    Taratibu za kuasili mtoto aliyekataliwa na baba

    Nashukuru sana mkuu.Naomba ufafanuzi katika kigezo namba 6,8 na 9,kwa hivyo vingine havina tatizo ninavikidhi. Mtoto sio yatima,Bali amekuwa rejected tangu ujauzito na baba hataki kumtambua.
  13. Ukuta wa Yeriko

    Taratibu za kuasili mtoto aliyekataliwa na baba

    Nimekuelewa ndugu ila tukubaliane tu kwamba ukishampa mtu ujauzito n.a. kuishia kumharras na kiumbe hicho,huo ni zaidi ya unyama.Jiweke katika nafasi ya huyo mzazi kutaabika 5 yrs mkuu.Ana uwezo wa kuamua alitakalo na hana tatizo na hilo.Na huyu mama ni mtu anayejitambua na aliamua kuyabeba yote...
Back
Top Bottom