Recent content by Ukugigwa

  1. U

    Katiba Mpya, Tume huru chini ya CCM ni ndoto ya mchana! Upinzani chukueni hatua

    Jibu swali acha kurukaruka swali! Kwa nini mnaogopa tume huru ya uchaguzi Kama mnapendwa na mna uhakika wa kuchaguliwa kwa kura mbali na kuiba?
  2. U

    Katiba Mpya, Tume huru chini ya CCM ni ndoto ya mchana! Upinzani chukueni hatua

    Sasa mbona wanaogooa tume huru ya uchaguzi. Jibu sqali Hilo acha kurukaruka
  3. U

    Katiba Mpya, Tume huru chini ya CCM ni ndoto ya mchana! Upinzani chukueni hatua

    MsemajiUkweli, Mbona hujaandika chochote Sasa zaidi ya kuonesha ujinga square tu!
  4. U

    Katiba Mpya, Tume huru chini ya CCM ni ndoto ya mchana! Upinzani chukueni hatua

    Kumbe zile mbwembwe zote za jpm kuwa ameanzisha miradi wananchi wameona upumbavu tu! Nakuhakishieni the moment ccm wakikubali tume huru ya u haguzi ndo kifo chake jpm hataambuli hata 20 percent ya kura zote. Labda atapata singida tu ambapo no jamii ya wajinga( hawana elimu)
  5. U

    Walimu watakaojitolea miezi saba Temeke kuajiriwa

    Hakuna nchi duniani inachukulia elimu kitu cha kipuuzi kama Tanzania! Imagine tuna walimu wamehitimu halafu mashule hayana walimu? Tunajenga taifa la namna gani? Halafu tunakuja na rushwa za hovyo kama hizi kwamba fundisha seven month free ndio tukuajiri? Are we serious?
  6. U

    Poleni sana wahitimu kwa kuhitimu katika kipindi hiki cha ugumu wa ajira

    Exactly. We ukitaka kuona hali ni mbaya Sana tangaza nafasi za ajira mitandaoni hata Kama ni feki na unahitaji wawili tu, utapata application elf 5
  7. U

    Poleni sana wahitimu kwa kuhitimu katika kipindi hiki cha ugumu wa ajira

    Mana yake ilikuwa atakayeingia madarakani baaea ya jk expectation aongeze ajira zaidi mpaka fields zingine lakini huyu jamaa ameziban kabisa Hana mpango wa kuajiri hali ni mbaya
  8. U

    Poleni sana wahitimu kwa kuhitimu katika kipindi hiki cha ugumu wa ajira

    Mi mwalimu ndiyo. Ndo mana nasema tulienjoy Sana wakati wa jk. Saaa hivi walimu wanasuffer kwelikweli
  9. U

    Poleni sana wahitimu kwa kuhitimu katika kipindi hiki cha ugumu wa ajira

    Jakaya mrisho kikwete. Nimemaliza kipindi chake na ndo mana nawasikitikia wanaomaliza kipindi hiki. Ambaye kamaliza kipindi Cha jk ana ajira labda Kama hakutaka mwenyewe. Mwaka gani ulipita bila jk kuajiri walimu na madactari wote nchi nzima!
  10. U

    Poleni sana wahitimu kwa kuhitimu katika kipindi hiki cha ugumu wa ajira

    Nawaona wanazulula na bahasha za kaki Kila siku hapa mpka nawaonea huruma. Jana nimetangaza kazi feki mtandani nimeshapa application Kama elfu moja hapa. Hi maana yake hali ni mbaya
  11. U

    Poleni sana wahitimu kwa kuhitimu katika kipindi hiki cha ugumu wa ajira

    Sisi tumetoa maoni na kuwasikitia wanaomaliza kipindi hiki Cha huyu dictator. Ajira kwa jk zilikuwa bwerer ambaye aligraduate hakuna aliyeko mtaani labda Kama alipenda mwenyewe
  12. U

    Poleni sana wahitimu kwa kuhitimu katika kipindi hiki cha ugumu wa ajira

    Mi nawasikitikia tu wanaomaliza kipindi hiki Cha dictator. Nina ajira yangu kipindi kile tuna mzalendo na mpenda watu jk
  13. U

    Poleni sana wahitimu kwa kuhitimu katika kipindi hiki cha ugumu wa ajira

    Ajira ni kuajiri Kama alivyofanya jk. Labda Kama unataka kumssaport jpm kutoajiri au unataka kujustifu
  14. U

    Poleni sana wahitimu kwa kuhitimu katika kipindi hiki cha ugumu wa ajira

    Nasikitika sana kuwaona graduates wanazurura zurura mtaani huku. Hakuna ajira tangu huyu bwana aingie madarakani yeye ni madege tu inatosha. Tumeinjoy sana kipindi cha Rais Mstaafu jakaya Kikwete maana ajira nilikuwa bwerere serikalini mpaka tunazikataa tunaamua kuingia private hususani ualimu...
  15. U

    Magufuli Pumzika, yatosha sasa!

    Jifariji!
Back
Top Bottom