Recent content by UkomboziMpya

  1. U

    Walishindwa Dr Slaa na Prof Lipumba. Tafiti Zitaweza Kweli?

    Ngoja tuwathibitishie hili oct 25! wasikae mbali!
  2. U

    Nyimbo za ukombozi wa Afrika Kusini zinasikika sana maeneo mengi kariakoo jijini dsm !

    Ila nimestushwa ghafla maana sikujua kama kiu ya ukombozi imefikia kiwango hiki!
  3. U

    Nyimbo za ukombozi wa Afrika Kusini zinasikika sana maeneo mengi kariakoo jijini dsm !

    Nyimbo kama huleeleee mmmhhh. . . . na nyimbo kama sarafinaaaaa sarafina sarafina sarafinaaaa! Zinaimbwa sana maeneo mengi jijini dsm hasa maeneo ya kariakoo! Duuuu nimestaajabu kwelikweli!
  4. U

    UKAWA wanachukua nchi kwa style hii

    sasa hivi makamanda tuna comment tu tukianzisha thread inafinywa!
  5. U

    Africa Billionaire List

    Aliko mtata sana, coz mzigo wake ni mara mbili ya mzigo wa mtu wa chini yake!
  6. U

    Africa Billionaire List

    Bado sana, but najua mengi ni phils mmoja mzuri hivi Salim sijui hela zake anatoaga wapi!
  7. U

    Maswali haya matatu - Naam manne - yenye kulazimisha majibu (sio mazuri sana...)

    Hili Taifa limefika hapa lilipo kwa sababu ya porojo za akina MMM. Nami nashukuru Mungu kizazi chenu kinapita!
  8. U

    Maswali haya matatu - Naam manne - yenye kulazimisha majibu (sio mazuri sana...)

    We jamaa sijawahi kujuta kusoma comment yako: ''Nashukuru Mungu Kizazi chenu kinapita'' then endelea 1 to 3. Mzee Mwanakijiji ..... soma hapa usijitoe ufahamu!
  9. U

    Maswali haya matatu - Naam manne - yenye kulazimisha majibu (sio mazuri sana...)

    Haaaa hii post ya MMM daaaa nimepotea njia........... nitakuja ku comment nikimaliza kazi yangu oct 25!
  10. U

    Mwaka wa mabadiliko, je wewe unafurahia au unasikitika?

    Kupiga kura kwa wingi na kulinda kura bila uoga! Ni hivyo tu!
  11. U

    Magufuli, kupiga push ups ni busara? IQ vipi? Ipo?

    Huyo ni low IQ mkuu usihangaike nayo! Jamaa hata hajui hadhi ya urais anadhani ni kama kuwa kaka mkuu shule ya msingi!
  12. U

    Unakumbuka ule mgogoro wa malawi na tz ama rwanda na tz?

    Muoga kama magufuli ambaye uwepo wake serikalini kwa zaidi ya miaka 20 hajawahi kuwatetea wannachi ama unazungumzia yule anayefanya maamuzi magumu any time!
  13. U

    Lowassa: Hatutakubali Matokeo ikiwa...

    Tutakubalije kibwegebwege? aah tuheshimiane buana!
  14. U

    Unakumbuka ule mgogoro wa malawi na tz ama rwanda na tz?

    Unajua magufuli kama magufuli hawezi kufanya maamuzi ya busara peke yake! sasa akikosekana kiongozi wa juu yake ataharibu kila kitu! walau kikwete aliingilia kati ile bomoabomoa, na pinda aliingilia kati ile tafrani na malori! Sasa yeye akiwa top unategemea nini?
  15. U

    Unakumbuka ule mgogoro wa malawi na tz ama rwanda na tz?

    Hakuna ambaye angeweza kumwambia kitu coz hashauriki! haambiliki!
Back
Top Bottom