Sawa tumeona mapato yameongezeka lakini huu ukadiriaji wa kodi ongezeko la asilimia moja au zaidi hapa Arusha ni kuua biashara. Kwa kweli wengi tutafunga hamna jinsi
Mashirika haya mawili yaliundwa kwa mujibu wa sheria mnamo tarehe 01/07/1982 kwa nia ya kuongeza ufanisi kwa kuwahamisha wafanyakazi wa kitengo cha utafiti wa iliyokuwa Wizara ya Kilimo na Mifugo wakati huo na kuwapeleka kwenye mashirika hayo mawili.Hata hivyo mnamo tarehe 30/06/1989 ajira za...
Kama kuna mtu mwenye uchungu na nchi hii na kutakia wananchi wake heri ni Raisi wetu JPM. Tunachotakiwa kufanya ni kumpa support inayohitajika na si kumkatisha tamaa. Wengine wana mambo yao ambayo wangetaka yafanyike kwa haraka lkn unapokua kiongozi lazima uwe na miapangilio, lipi litangulie...
Wapinzani Tz wamechoka kiasi hawana direction. wanasubiri kupinga kila kitu raisi wetu anachofanya ambacho ni cha heri kwa watanzania. Sasa km mwenyekiti wao anatuhuma nzito za kuuza ngada atatueleza nini watanzania wenye akili timamu. Kageuza chama ndio kimbilio la wanya madawa ya kulevya...
Jambo ambalo Ukawa wanatakiwa wajiulize je hivi vyama vyao ni institution au ni mali ya watu binafsi. CCM ni institution na sio mali ya mtu kama vyama vya upinzani hapa nchini. Kwa hili wasipoweza kulitatua kamwe hawataiona ikulu kwa karne moja ijayo. Poleni kwa kukosa upeo. Vile vile...
K
Kwa nini mnawaamulia hao madaktari. Raisi alivyotoa ruhusa hiyo haitoshi na kwa kwamba nyie na huyo Mbowe wenu ndio anajua kua kuna usalama au la. Subirini utakapokua raisi na wewe utoe maamui yako. Kwa sasa raisi ni Dr. John Pombe Magufuli.
Kwa Afisa Uhamiaji Mkoa wa DAR.
Pamoja na mapendekezo yote uliyopewa kuhusu wahamiaji na wanaofanyakazi bila vibali kuna mkenya anafahamika kwa jina la Timoth John Kamau. Yupo hapa Dar kwa miaka zaidi ya mitano kazi yake ni kutengeneza madawa ya mifugo bandia na madawa ya tiba mbadala. Hana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.