Nafikiri hamjanielewa nyie watu,naifahamu Gran Melia maana nyuma ya Gran Melia nina nyumba yangu,kwa kifupi tumetengana HATUA zisizozidi 50 kutoka nyumba yangu niliyoijenga kwa jasho langu na hiyo Gran Melia,hiyo Hotel tangu inaanza kujengwa naiona. Na tatizo langu sio kwa Bwana BASHITE kulala...
Hiko chumba ndio cha Bei ya chini kabisa Gran Melia Hotel,nilikuwa na rafiki Jaji wa Mahakama ya Haki za Binadamu ya Afrika(ACHPR),alikuwa analala chumba cha USD 3450 per day na hiyo ni mwaka 2022,usilete ushamba wa Kakonko
Yaani Center Half acheze Mkongwe Erasto Nyoni ashindane mbio na wale madogo wa 2000's??si atavunjika nyonga tu maana akili inataka lakini mwili unakataa
Unafahamu gharama ya kulala Gran Melia Hotel Arusha kwa siku au??nadhani unalinganisha gharama na vi-Hotel uchwara vya huko Kibondo kwenye vumbi mpaka makalioni,tembea Uone Muha wewe
Ligi ilianza wiki mbili zilizopita na katika michezo yote iliyochezwa hakujakuwa na malalamiko dhidi ya marefa,tafadhali kuanzia mechi ya Yanga leo hali iwe shwari,maana mmezoea nyie
Tangu ligi imeanza hakujakuwa na malalamiko kwa Waamuzi kwamba wanakosea,sasa kuanzia leo hali hiyo iendelee,sio wanapocheza Yanga ndio kuwe na makosa ya maamuzi mnayosemaga ni makosa ya kibinadamu
Nawashukuru kwa mawazo wandugu hata kwa wale mlionishambulia. Mnaosema nimripoti kwa KVant wenyewe nimeshindwa maana hawana active Website hivyo sijapata namba ya simu wala Email. Pia mimi nipo Kigamboni na Kiwanda kipo Arusha hivyo siwezi kwenda Arusha. Nadhani niache tu kikubwa mnaokunywa...
Ndio maana nami ningependa kuwapa taarifa wenye kiwanda moja kwa moja na sio kwa Mjumbe sijui Polisi NO. Kuwapa taarifa hao hawakawii kunichoma kwa hawa wahuni kwamba tumeambiwa na jirani yako UKEREWEKWETU kwamba unazalisha vinywaji feki,mwisho wa siku nikajihatarishia maisha yangu
Nisaidie contact zao tafadhali,sina roho mbaya nae,kinachokera ni kelele na usumbufu anaotusababishia majirani kwa shughuli zake zisizo halali,kwa nini asiende kuifanyia mahali ambako hatakuwa kero kwa wengine??
Ni nyumba jirani na yangu lakini huyu ni mpangaji. Usiku kucha ni kelele za kiwanda chake feki cha kuzalisha KVant feki na kuzijaza kwenye chupa za KVant.
Ni kazi inayofanyika usiku tu. Nimripoti wapi haramia huyu maana naamini vinywaji hivyo feki vinaathiri wanywaji huko nje kwani havina ubora...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.