UNAMMANISHA ILANGALA-KAKUKURU Juliana, KATA YA ILANGARA KWA SASA IMEGAWANYWA NA KUWA NA KATA MBILI AMBAZO NI ILANGALA NA KAKUKURU, HII NI KATA NGUMU SANA KWA CCM TOKA MWAKA 1995, na sababu kubwa iliyofanya kugawanywa ni ccm kuhofia kuangushwa tena na sababu kata ya kakukuru wana hisi wanaweza...
nape na ccm yenu kwa kweli mnachekesha,chukulia mfano wa mgodi wa north mara na buzwagi na bulyanhulu,kuna graduate engineers kutoka ghana ambapo kuna graduate kibao wenye proffessional katika fan za uhandisi migodi na geologia,inakuwaje ,mfano technical services manager au mining manager awe...
kwa taarifa yako ukerewe na mwanza walishajikomboa kutoka kwa chama cha wauza unga (CCM) halimashauri ya ukerewe hiko chini ya chadema,ccm ukerewe nzima ina madiwan watatu tu,toka dk slaa amwambie yule mama jambazi getrude mongera, wananchi wa ukerewe walimuelewa dr slaa ,na wakasema hapana kwa ccm
Kwa mazingira ninayofanya kazi yalinilazimisha nifungue account stanbic hili mshahara wangu uwe unapita huko,kinachoniumiza ni makato ya 12000/= kwa mwez,kutoka zamani ambambo ilikuwa unakatwa 2000/= kwa mwez ,nilijaribu kuwambia maofisa wa benk wakasema gharama zimepanda za uendeshaji wa...
Selkali ya ccm hiko likzo kama baraza la madiwan linatenga bajeti kwa ajiri ya ukalabati wa vyuo na shule ,then wanawambia wanafunzi kuchangia hii inaonyesha jinsi selkali ya ccm ilivyo ya kifisadi na wakuu wa chuo wanatumia mwanya huo kuwakamua wanafunzi pamoja na wazazi wao, mfano chuo cha...
MICHANGOMichango mingine ifuatayo iwekwe kwenye A/C 51403500048 jina la akaunti ni KASULU T.C. PROJECT, Benki yaNMB tawi la Kasulu. Pay-in slip yake uje nayo ikiwa imeandikwa jina lako kamili .1. Fedha ya kitambulisho cha Chuo Tshs 5,000/=2. Fedha ya ukarabati Tshs 20,000/=(Bodi)3. Fedha ya...
kwa mwenenendo huu wa viongoz wa itaifa wa selkali ya ccm itaifikisha tanzania mahali pabaya, kinana kuwa jangili na wakati ni katibu wa ccm,huku ccm bado inauguza majeraha ya EPA,RICHMOND,MEREMETA, ccm inastahili adhabu kubwa na wananchi wachukue hatua kwa sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.