Recent content by UJANJAUJANJA

  1. UJANJAUJANJA

    Wauza na Wanunuzi wa Viwanja, Nyumba, na Mashamba

    Kiko Mabwepande ipi mkuu na kina ukubwa gani na unakiuzaje?
  2. UJANJAUJANJA

    Nauza kiwanja ununio

    Mkuu salama? Hicho kiwanja kina ukubwa gani kwa square meters? Naomba pia namba yako ya simu tuyajenge ili tuone kama tunaweza kuja kuliona eneo. Thibitisha pia kama kweli eneo lina Hati ya umiliki
  3. UJANJAUJANJA

    Plot4Rent Tunauza Mashamba na Viwanja

    Hiki bajeti yake ikoje mkuu?
  4. UJANJAUJANJA

    Plot4Rent Tunauza Mashamba na Viwanja

    Kwadilo, Salaam. Tafadhali nifahamishe kama kiwanja hiki bado kinapatikana nione namna tunavyoweza kukiona na tuongee bei tufanye biashara. Nimejaribu kukupigia asbh hii lakini simu yako haipatikani. Nimekupigia kwa namba ya airtel inayoishia na 62. Kama ukipata notification kuwa namba hiyo...
  5. UJANJAUJANJA

    Uzi maalum wa Nyumba/Apartment zinazouzwa na kupangishwa

    Nimekusoma mkuu. Nitakucheki
  6. UJANJAUJANJA

    Uzi maalum wa Nyumba/Apartment zinazouzwa na kupangishwa

    Tunao, Namba yako ya simu uliyoweka hapo ni incomplete Tafadhali weka namba kamili tuongee tufanye kazi. Kodi 300,000 tuongee biashara
  7. UJANJAUJANJA

    Tunaotarajia kwenda Sweden Masomoni kipindi cha "Autum" tukutane hapa tupeane mawili matatu

    Kwanza nikupongeze kwa nafasi hiyo uliyopata kwenda kusoma Sverige (Sweden). Kama umepata Chuo Umëa, basi flight yako inapaswa kutoka Dar es Salaam hadi Arlanda International Airport iliyopo Stockholm. Ni rahisi zaidi kufika Umea ukitokea Stockholm kuliko kupitia Copenhagen na kuingia Sweden...
  8. UJANJAUJANJA

    Anayejua vyoo vya kuhamisha(mobile toilets) vinakokodishwa

    Mkuu watafute CAPS Limited kupitia Mkurugenzi wao mmojawapo,wanafanya kazi ya kukodisha vyoo hivyo. Namba zao ni +255 713 606 644
  9. UJANJAUJANJA

    Mheshimiwa Rais naomba usinichoke: Kifo cha Waziri Dhahiri wilayani Mwanga kimenistua!

    Kuna siku nilisimamishwa na polisi nikiwa naendesha gari kisha akaniomba lifti,nilichomwambia ni kuwa gari yangu sipakii wala kutoa lifti kwa polisi. Yaani chuki iliyojengeka kati ya askari polisi na raia ni kubwa sana. Ni bomu linalosubiri kulipuka. Bahati mbaya watu wameziba masikio hawataki...
  10. UJANJAUJANJA

    Napitia katika changamoto kubwa

    Janesc Janescom, Pole kwa uliyopitia. Pole sana. Nadhani tunaweza kukutana pamoja tukayajenga,kwa thinking uliyonayo nadhani kuna kitu cha msingi tutakitengeneza na furaha yako itarudi. Sijajua uko mkoa gani,lakini nahisi uko Dar es Salaam. Kama ndivyo,naomba unipigie namba yangu ni hii . Let...
  11. UJANJAUJANJA

    Mbunge Joseph Mbilinyi afikishwa Mahakamani kwa Uchochezi, anyimwa dhamana

    Mahakimu wa namna hii wanaoshindwa kutolea maamuzi wakiwa bold kwa issues za wazi kama hizi wanachelewesha nchi yetu ku realize utawala wa kweli wa sheria. The offence is bailable as per S. 148(5) of the CPA and all that was said by the State Attorney is nothing but mere speculations, why would...
  12. UJANJAUJANJA

    Jeshi la Polisi lazuia Mkutano wa Zitto Kabwe na Wapiga kura wake

    Jeshi letu la polisi safari hii lina kazi kweli. Hivi mwandishi wa barua hiyo,hata kama hana taaluma ya sheria, ameshindwa kuomba ushauri wa kisheria kwamba panapokuwa na mgongano wa vifungu vya sheria mbili kati ya sheria ya ujumla na sheria mahsusi ni kifungu gani kina prevail? Asante Zitto...
  13. UJANJAUJANJA

    Mbunge Joseph Mbilinyi afikishwa Mahakamani kwa Uchochezi, anyimwa dhamana

    Kama watu wanaogopa tuu fu Uoga huu mpaka lini? Yaani taifa la watu wanaoogopa fulana na maneno yaliyoandikwa litabaki kuwa taifa goigoi
  14. UJANJAUJANJA

    Tundu Lissu kushtakiwa Mahakama ya Kimataifa kutokana na mahojiano aliyofanya na BBC

    Hii kesi tarajiwa ya Cyprian Musiba dhidi ya Lissu, bado natafakari sana sipati majibu, will it be a civil case? If yes then, what would be his cause of action known in law against Lissu? Will it be a criminal case? What offence is alleged to have been committed by Lissu following the press...
Back
Top Bottom