Recent content by uhuruborn

  1. uhuruborn

    Nchimbi awaomba viongozi wa dini kumwombea Rais Samia dhidi ya 'Watu wabaya'

    Tunamwombea Afe kama Sio kumwa na kutoka kwenye kiti alichokalia...
  2. uhuruborn

    Uongozi dhaifu na usaliti wa kimkakati wa taifa

    Samia hana uwezo wa mawazo ya kimkakati wala uthubutu wa kiuongozi kama mtangulizi wake. Udhaifu wake haujatokea kwa bahati mbaya ni matokeo ya uamuzi wa makusudi wa kujifungamanisha na wezi, walafi, na mitandao ya kifisadi badala ya kusimama na wazalendo wanaolipenda taifa kwa dhati. Badala ya...
  3. uhuruborn

    Kuuza Dhahabu ya Taifa: Wezi wakikosa Fedha, Huuza Urithi wa Watoto Wako

    Wewe jamaa kichwani utakuwa na mavi.... Katika kuelekea kununua dhahabu JPM alihakikisha kwanza dhahabu inachenjuliwa hapa hapa nchini na kuwa na masoko ya madini na kuanza kununua dhahabu kidogo kidogo. Mwinyi akilizake zilikuwa kama za huyu shetani jike ndio maana alipigwa kwa kuuziwa dhahabu...
  4. uhuruborn

    Nini chanzo cha kusambaa Kwa ushoga Tanzania?

    Chanzo kikubwa ni uongozi ulioko madarakani kuruhusu ushoga wazi wazi na wengine wao kuwa ni mashoga. So roho ya ibilisi inasambaa sana.
  5. uhuruborn

    Kuuza Dhahabu ya Taifa: Wezi wakikosa Fedha, Huuza Urithi wa Watoto Wako

    ngoja nikusaidie tu huyu mwanamke hana strategic thinking mind yeye anachojua ni michambo. JPM ndio alitengenza wazo na foundation kwa ajili ya utekelezaji wa hilo jambo.....huyu mwanamke awamu yake zaidi ya kukopa mafedha mengi, kuiba na kuua watanzania amefanya lipi lingine
  6. uhuruborn

    Kuuza Dhahabu ya Taifa: Wezi wakikosa Fedha, Huuza Urithi wa Watoto Wako

    Samia hana akili hizo. Mwazilishaji wa wazo ni mwamba JPM na umeona sababu za kuanzishwa na anachokifanya huyu mwanamke??
  7. uhuruborn

    Kuuza Dhahabu ya Taifa: Wezi wakikosa Fedha, Huuza Urithi wa Watoto Wako

    Uamuzi wa kuuza sehemu ya hazina ya dhahabu ya Tanzania si mpango wa kiuchumi. Ni tamko la kushindwa kwa dola. Ni kukiri wazi kwamba serikali imeshindwa kuendesha nchi kwa uadilifu, imeshindwa kudhibiti wizi, na sasa imeamua kuuza urithi wa taifa ili kuendeleza mfumo wa ulaji wa wachache...
  8. uhuruborn

    PostGE2025 Rais Samia: Huko Mahabusu kuna watu hawana hatia, wanafungwa kwa kesi ya kubambikiwa tu

    this woman is a clown....ndio maana mabalozi wamemdharau sana anatoa spech wao wanapiga story zao
  9. uhuruborn

    Samia Suluhu ni Rais Haramu, Serikali ya Hofu, na Teuzi za Kujinusuru

    Hii ni tafsiri potofu ya maandiko. Biblia inaonyesha wazi kuwa Mungu si tu huweka, bali pia huruhusu. Kuna tofauti kubwa kati ya Mungu kuteua na Mungu kuruhusu. Mungu mara nyingi huruhusu uovu, dhuluma, na mifumo ya kishetani isitawi kwa muda si kwa sababu anaipenda, bali ili mwisho wake utukufu...
  10. uhuruborn

    Samia Suluhu ni Rais Haramu, Serikali ya Hofu, na Teuzi za Kujinusuru

    Hakuna namna ya kuficha ukweli huu kwa mapambo ya maneno: udhaifu wa Rais wa sasa unatokana moja kwa moja na ukweli kwamba hana uhalali wa kisiasa wala wa kimaadili. Huyu si Rais wa ridhaa ya wananchi, bali ni Rais wa nguvu, vitisho, na damu ya raia. Msingi wa madaraka yake haukujengwa kwa kura...
  11. uhuruborn

    Kama kawaida yenu Mtu kafa kwa Stress zake na BP kwa safari hii Kuachwa ambako hakukutegemea kwa Ushirikina wake mnasema Kauliwa

    kweli uko outdated fuatilia wasiojulikana wamepita naye na kesi ishafunguliwa. Hakuna ushirika wa wachawi unaodumu
  12. uhuruborn

    PostGE2025 SAUTI YA MABADILIKO –Ujumbe kwa watanzania wote na Roma Mkatoliki

    Katika safari ya kudai mabadiliko ya kweli nchini, kumekuwa na misimamo tofauti, shutuma, dhihaka na hata manyanyaso yanayowakumba wale wanaosimama kidete kutetea haki, uhuru na ustawi wa taifa. Wapo wanaotubeza, wanaotukejeli na hata wanaofurahia mateso ya wapigania mabadiliko. Lakini katika...
  13. uhuruborn

    PostGE2025 Rais Samia akipokea Hati za Utambulisho wa Mabalozi, Ikulu Chamwino - Disemba 12, 2025

    tukio lililoshindikana kufanyika muda ule saa 6, na watu wakaishia kuwa online tu wakiangalia socket za umeme za ikulu bila sauti. Sasa nini hasa kilikuwa kinaendelea huko? Au labda taarifa zilishapokelewa na mimi nikachelewa kuingia?
Back
Top Bottom