Recent content by uhuruborn

  1. uhuruborn

    JamiiForums Tanzania Hii siyo Siasa tena, huu ni Uhalifu dhidi ya Uhuru wa Mwananchi

    Kumteka mwanachama wa CCM kwa sababu amethubutu kuikosoa serikali na chama chake ni ishara ya hatari sana kwa demokrasia yetu. Soma Kada wa CCM, Bakari Kazungu, ambaye amekuwa akikemea uchawa, atekwa na kufanyiwa vitendo vya kikatili Mwananchi ana haki ya kusema ukweli. Mwanachama...
  2. uhuruborn

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Tuko vizuri kisiasa lakini mwenzetu mmoja anaendelea kutafakari, Tunaendelea kupokea matakwa yake

    Huyu mwanamke atakuwa na bipolar....
  3. uhuruborn

    JamiiForums Tanzania Maneno ya mwisho ya mwanajeshi mdogo wa Marekani, Angel Rampesard, kabla ya kifo chake

    Walidhani Iran ni Venezuela au Tanzania...Iran ni kama kanisa la Roman limeshakutana na tawala za aina zote duniani and still wanatoboa
  4. uhuruborn

    JamiiForums Tanzania Kwa nini jeshi la mtandaoni la JPM waliacha kusapoti awamu ya sita ya mama?

    Samia ni furushi la Miba habebeki...
  5. uhuruborn

    JamiiForums Tanzania Kitengo gani cha benki kina maslahi mazuri

    IT upande wa Softwarw na Security
  6. uhuruborn

    JamiiForums Tanzania The US bill mandates an assessment of Tanzania's military, economic and political cooperation with China

    Ukiwa na "Rais" mpumbavu kama Samia hii ndio dawa yake tu.
  7. uhuruborn

    JamiiForums Tanzania Askofu Gwajima: Baba yangu aliniambia "watakuua" nikamwambia hafi mtu hapa

    Nakubaliana na wewe Mungu anapanga siku zao, pia tambua ya kwamba shetani naye anapambana kuzifupisha siku ambazo Mungu amkupangia ili usilitimize kusudi la Mungu. Ni kusimama kwenye maombi ya ulinzi sana maana unaweza kufa kabla ya siku za Mungu kama waliouwawa Oktoba 29
  8. uhuruborn

    JamiiForums Tanzania Makonda: Tumeahirisha ule mkopo wa Tsh Bilioni 20 kwa content creators

    Kama kawaida yao wanakurupuka kwanza na baadae ndio akili zinakuja...pumbavu zao kabisa
  9. uhuruborn

    JamiiForums Tanzania Nchimbi awaomba viongozi wa dini kumwombea Rais Samia dhidi ya 'Watu wabaya'

    Tunamwombea Afe kama Sio kumwa na kutoka kwenye kiti alichokalia...
  10. uhuruborn

    JamiiForums Tanzania Uongozi dhaifu na usaliti wa kimkakati wa taifa

    Samia hana uwezo wa mawazo ya kimkakati wala uthubutu wa kiuongozi kama mtangulizi wake. Udhaifu wake haujatokea kwa bahati mbaya ni matokeo ya uamuzi wa makusudi wa kujifungamanisha na wezi, walafi, na mitandao ya kifisadi badala ya kusimama na wazalendo wanaolipenda taifa kwa dhati. Badala ya...
  11. uhuruborn

    JamiiForums Tanzania Kuuza Dhahabu ya Taifa: Wezi wakikosa Fedha, Huuza Urithi wa Watoto Wako

    Wewe jamaa kichwani utakuwa na mavi.... Katika kuelekea kununua dhahabu JPM alihakikisha kwanza dhahabu inachenjuliwa hapa hapa nchini na kuwa na masoko ya madini na kuanza kununua dhahabu kidogo kidogo. Mwinyi akilizake zilikuwa kama za huyu shetani jike ndio maana alipigwa kwa kuuziwa dhahabu...
  12. uhuruborn

    JamiiForums Tanzania Nini chanzo cha kusambaa Kwa ushoga Tanzania?

    Chanzo kikubwa ni uongozi ulioko madarakani kuruhusu ushoga wazi wazi na wengine wao kuwa ni mashoga. So roho ya ibilisi inasambaa sana.
  13. uhuruborn

    JamiiForums Tanzania Kuuza Dhahabu ya Taifa: Wezi wakikosa Fedha, Huuza Urithi wa Watoto Wako

    ngoja nikusaidie tu huyu mwanamke hana strategic thinking mind yeye anachojua ni michambo. JPM ndio alitengenza wazo na foundation kwa ajili ya utekelezaji wa hilo jambo.....huyu mwanamke awamu yake zaidi ya kukopa mafedha mengi, kuiba na kuua watanzania amefanya lipi lingine
  14. uhuruborn

    JamiiForums Tanzania Kuuza Dhahabu ya Taifa: Wezi wakikosa Fedha, Huuza Urithi wa Watoto Wako

    Samia hana akili hizo. Mwazilishaji wa wazo ni mwamba JPM na umeona sababu za kuanzishwa na anachokifanya huyu mwanamke??
Back
Top Bottom