Kumteka mwanachama wa CCM kwa sababu amethubutu kuikosoa serikali na chama chake ni ishara ya hatari sana kwa demokrasia yetu.
Soma Kada wa CCM, Bakari Kazungu, ambaye amekuwa akikemea uchawa, atekwa na kufanyiwa vitendo vya kikatili
Mwananchi ana haki ya kusema ukweli. Mwanachama...
Nakubaliana na wewe Mungu anapanga siku zao, pia tambua ya kwamba shetani naye anapambana kuzifupisha siku ambazo Mungu amkupangia ili usilitimize kusudi la Mungu. Ni kusimama kwenye maombi ya ulinzi sana maana unaweza kufa kabla ya siku za Mungu kama waliouwawa Oktoba 29
Samia hana uwezo wa mawazo ya kimkakati wala uthubutu wa kiuongozi kama mtangulizi wake. Udhaifu wake haujatokea kwa bahati mbaya ni matokeo ya uamuzi wa makusudi wa kujifungamanisha na wezi, walafi, na mitandao ya kifisadi badala ya kusimama na wazalendo wanaolipenda taifa kwa dhati.
Badala ya...
Wewe jamaa kichwani utakuwa na mavi.... Katika kuelekea kununua dhahabu JPM alihakikisha kwanza dhahabu inachenjuliwa hapa hapa nchini na kuwa na masoko ya madini na kuanza kununua dhahabu kidogo kidogo. Mwinyi akilizake zilikuwa kama za huyu shetani jike ndio maana alipigwa kwa kuuziwa dhahabu...
ngoja nikusaidie tu huyu mwanamke hana strategic thinking mind yeye anachojua ni michambo. JPM ndio alitengenza wazo na foundation kwa ajili ya utekelezaji wa hilo jambo.....huyu mwanamke awamu yake zaidi ya kukopa mafedha mengi, kuiba na kuua watanzania amefanya lipi lingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.