Samia hana uwezo wa mawazo ya kimkakati wala uthubutu wa kiuongozi kama mtangulizi wake. Udhaifu wake haujatokea kwa bahati mbaya ni matokeo ya uamuzi wa makusudi wa kujifungamanisha na wezi, walafi, na mitandao ya kifisadi badala ya kusimama na wazalendo wanaolipenda taifa kwa dhati.
Badala ya...
Wewe jamaa kichwani utakuwa na mavi.... Katika kuelekea kununua dhahabu JPM alihakikisha kwanza dhahabu inachenjuliwa hapa hapa nchini na kuwa na masoko ya madini na kuanza kununua dhahabu kidogo kidogo. Mwinyi akilizake zilikuwa kama za huyu shetani jike ndio maana alipigwa kwa kuuziwa dhahabu...
ngoja nikusaidie tu huyu mwanamke hana strategic thinking mind yeye anachojua ni michambo. JPM ndio alitengenza wazo na foundation kwa ajili ya utekelezaji wa hilo jambo.....huyu mwanamke awamu yake zaidi ya kukopa mafedha mengi, kuiba na kuua watanzania amefanya lipi lingine
Uamuzi wa kuuza sehemu ya hazina ya dhahabu ya Tanzania si mpango wa kiuchumi. Ni tamko la kushindwa kwa dola. Ni kukiri wazi kwamba serikali imeshindwa kuendesha nchi kwa uadilifu, imeshindwa kudhibiti wizi, na sasa imeamua kuuza urithi wa taifa ili kuendeleza mfumo wa ulaji wa wachache...
Hii ni tafsiri potofu ya maandiko. Biblia inaonyesha wazi kuwa Mungu si tu huweka, bali pia huruhusu. Kuna tofauti kubwa kati ya Mungu kuteua na Mungu kuruhusu. Mungu mara nyingi huruhusu uovu, dhuluma, na mifumo ya kishetani isitawi kwa muda si kwa sababu anaipenda, bali ili mwisho wake utukufu...
Hakuna namna ya kuficha ukweli huu kwa mapambo ya maneno: udhaifu wa Rais wa sasa unatokana moja kwa moja na ukweli kwamba hana uhalali wa kisiasa wala wa kimaadili. Huyu si Rais wa ridhaa ya wananchi, bali ni Rais wa nguvu, vitisho, na damu ya raia. Msingi wa madaraka yake haukujengwa kwa kura...
Katika safari ya kudai mabadiliko ya kweli nchini, kumekuwa na misimamo tofauti, shutuma, dhihaka na hata manyanyaso yanayowakumba wale wanaosimama kidete kutetea haki, uhuru na ustawi wa taifa. Wapo wanaotubeza, wanaotukejeli na hata wanaofurahia mateso ya wapigania mabadiliko. Lakini katika...
tukio lililoshindikana kufanyika muda ule saa 6, na watu wakaishia kuwa online tu wakiangalia socket za umeme za ikulu bila sauti. Sasa nini hasa kilikuwa kinaendelea huko? Au labda taarifa zilishapokelewa na mimi nikachelewa kuingia?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.