Are you an exceptional change leader with outstanding potential and significant achievement in shaping your community?
Joining the Dar es Salaam Hub of the Global Shapers Community offers you a unique opportunity to work with other change leaders in the city.
This is your chance to join the...
Miili yetu inapaswa kusafishwa ndani kwa usalama(cleansing)? Hii husaidia kukinga mwili na maradhi na kupunguza mafuta(uzito). Kutokana na u busy wa maisha inakuwa sio rahisi kupata vyakula ambavyo ni asilia (organic), tunameza dawa, pombe na soda vyenye kemikali, Hivo huchangia mtu...
Are you an exceptional change leader with outstanding potential and significant achievement in shaping your community?
Joining the Dar es Salaam Hub of the Global Shapers Community offers you a unique opportunity to meet other change leaders in the city. This is your chance to join the most...
Mkuu FRANCIS DA DON,
Sipo hapa kusafisha chochote. FLP hanihitaji mimi nije kusafisha, Mimi nakuelezea kwa uzoefu wangu. Na pia mimi sio msomi hata wa hali ya juu, ni raia wa kawaida kabisa. Situmi nguvu kuhalalisha ninachoamini kiwe kweli. Upo sahihi kuamini unachoamini na ni sawa kabisa...
FRANCIS DA DON Big Sam
Wakuu,
Kuhusu Pyramid Scheme naomba nitoe ufafanuzi kidogo hapa..
Kila kitu kwenye maisha yetu ni Pyramid Scheme. Kwanzia familia, Serikali, makampuni tunayofanya kazi na mambo yote.
Kwenye familia ukiangalia babu zetu wazamani ndio wametengeneza ukoo ulioposasahivi...
Mkuu,
Unachosema ni kweli kabisa.
Tatizo lililotokea ni kwamba mwanzoni kabisa watu waliojiunga FLP walikuwa hawana elimu ya kutosha ya jinsi ya kumarket bidhaa zao. Walikuwa wanazita dawa na watu wakawa wanaacha dawa za hospitalini. Sasa hiyo ikaleta mkanganyiko mkubwa. Ila hizi ni bidha...
Ni kweli mkuu watu wanakosea sana wanapokuwa wanavielezea na jinsi vinavyofanya kazi na hii inapelekea watu wengi sasa hivi inakuwa shida kuamini. Mimi pia nilishaimbishwa mwanzo na mtu ambaye nikamuuliza maswali je naruhusiwa kunywa na pombe akashindwa nijibu.
Nilichogundua ni kwamba watu...
Mkuu,
Hii sio dawa. Ni virutubisho (supplements). Kama unakunywa dawa za hospitali endelea kunywa pamoja na hizi. Hizi ni vyakula vinavyokupa wewe virutubisho mwili uweze kufanya kazi vizuri.
Ni kweli watu wanakosea wakidhani ni dawa. Hivyi ni vyakula..
This is Juma from Morogoro started his weightloss journey using the amazing Clean 9 complained a lot about how tough it is but he decided to go through the pain of discipline and the results are amazing. Kitambi Kushnehi
Over the last decade or so, L-arginine which is an amino acid has received a lot of attention thanks to Dr. Ferid Murad. His research which won him the 1998 Nobel Prize in Physiology or Medicine showed that - L-arginine worked in the body by being converted to nitric oxide which acts as a...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.