Ulevi wa pombe sigara bangi na kilevi chaaina yoyote pia umalaya kuwa nawanawake wengi wew kama kijana pia ujinga nichanzo cha umasikini maisha nilazima upambane tunza kidogo ulichonacho kiwekeze kitakuletea faida baadae vijana wa siku hiz niwazembe kufikili na kuchangamkia fursa vijana...
Now days dunia nzima hamna serikali ìnayoweza kuajili wananchi wake wote wansosoma naomba tuelewane hapo na serikali ipo kwaajili yakukufacilitate wee kujiajili na sio kukupa mtaji Serikali inapotengeneza miundombinu umeme mabarabara n.k inakupa changamoto weew nijinsi gani weww unatakiwa uwe...
Mim naupeo mkubbwa wakuchambua soka ukiona naandika kitu si ushabiki nakama kuna media yoyote inataka mchambuz wa soka please contact me au niunganishe
Kwa hatua iliyofika Simba Sports Club kuingia hatua ya makundi CAF Champions League inatupa changamoto wapinzani na sisi tukae chini.
Tutafakari;Je, siku tukipata nafasi yakuwakilisha nchi je kikosi chetu kinaweza kutufikisha mbali cha msingi tu Yanga wajipange watengeneze kikosi bora chenye...
Watanzania tuwe wabunifu kuhusu suala la ajira, nchi haiwezi kuajiri wasomi wote cha msingi ni kuchangamkia fursa za kibiashara.
N.B Kilimo ndio uti wa mgongo fanya kazi kwa bidiii na kuwa mbunifu na mtaji wa masikini ni nguvu zake yeye mwenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.