Sio sahihi bunge kuidhinisha safari za Rais, hasa ukizingatia hadhi ya Taasisi ya Rais. Isipokuwa Rais mwenyewe kwa vile amechaguliwa na wananchi ambao wengi wao ni maskini anatakiwa apime tija itakayopatikana kutokana na safari anayotaka kwenda.
Ukizingatia kuwa matusi yaliyotolewa na huyo mh yalilenga watu binafsi sio vizuri kuendelea kuyarusha hewani. Hasa kwa kuzingatia kuwa Clouds Radio inasikilizwa na watu wa rika zote, kwa hiyo ni aibu kuendelea kurudia matusi hayo. Watangazaji wafuate maadili ya kazi yao. Walioshindwa wameonekana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.