Safari za JK zamuudhi Filikunjombe

Akielezea utumiaji mbaya wa madaraka serikalini na mashirika ya umma filikunjombe amesema nchi nyingine raisi hawezi kusafiri bila ya bunge kuidhinisha safari. Amesema kipigo magamba walichokipata arumeru ni fundisho tosha jinsi wananchi walivyokata tamaa na ccm. Source-kipindi cha jambo leo tbc1

anayasema leo wakati mkuwere amebakiza nchi 15 tu aimalize dunia! Filikunjombe nae hamnazo kweli!
 
"kuna watu ndani ya baraza la mawaziri inabidi wanyongwe kwa kusababisha maafa ndani ya nchi hii.mh spika kama bajeti hii haitakuwa na fungu la kununua meli mpya ziwa nyasa kupitia shirika la reli,nitawahamasisha wananchi wangu wa ludewa tuungane na CHADEMA kuipinga serikali hii isiyojali maisha ya wananchi" haya maneno yalitamkwa na Filikunjombe bungeni mwaka jana na hii inazihirisha huyu jamaa hana muda mrefu ccm na anaikubali cdm.
 
Hii safari kwa mkulu ilikuwa ya muhimu sana, kaenda kuwaombea ulaji wadanganyika! mvua ndo zinaanza kushika kasi so plz kuweni wapole chief awaletee neti zenye kinga ya 20 yrs,
Najua atakuwa kaondoka na katimu kakubwa wakiwemo wakina davis mosha, maana brazili poda nayo si inalimwa banaana!
Yes! jamaa lazima warudi na sembe ya kutosha, kwa hiyo vijana subirieni kitu cha mbrazill.
 
Wanalinda mapinduzi kwa machine gun, lol! Naona yameanza kuwafika maana wamepeleka mambo kinafiki yamefika sehemu yakagonga ukuta. Yanawatafuna wenyewe.
 
Mara kwa mara nimekuwa nikimsikiliza Filkunjombe ni Jembe sana ila anapungukiwa na sifa ya chama chenye mashiko, niiombe CDM ebu anzeni kusajili hasa kwa kipindi hiki tumieni dirisha dogo kuvuna. Nimemsikiliza vizuri sana Mh ana machungu sana hasa amegusia safari za Rais,bodi ya Pamba na yule Mkurugenzi wa TBS hawafai.
 
Ngoja kidogo, kufikia 2014 tutaona mengi sana. Kudharau maoni ya Kolimba kwaitafuna CCM.

Uko sahihi mkuu Frederick. Walitakiwa wayafanyie kazi yale maoni ili chama kikao katika msitari wao wakamuwakia Kolimba kama Kolimba badala ya kutafakari alichosema.
 
Filikunjombe anapaswa kuhamia CHADEMA awe na uhuru zaidi wa kufunguka
 
Akielezea utumiaji mbaya wa madaraka serikalini na mashirika ya umma filikunjombe amesema nchi nyingine raisi hawezi kusafiri bila ya bunge kuidhinisha safari. Amesema kipigo magamba walichokipata arumeru ni fundisho tosha jinsi wananchi walivyokata tamaa na ccm. Source-kipindi cha jambo leo tbc1

Mpaka ifike 2015 watakuwa wamevuana nguo wote
 
Mara kwa mara nimekuwa nikimsikiliza Filkunjombe ni Jembe sana ila anapungukiwa na sifa ya chama chenye mashiko, niiombe CDM ebu anzeni kusajili hasa kwa kipindi hiki tumieni dirisha dogo kuvuna. Nimemsikiliza vizuri sana Mh ana machungu sana hasa amegusia safari za Rais,bodi ya Pamba na yule Mkurugenzi wa TBS hawafai.
Filikunjombe anaka-element kakuwadharaua wapigania uhuru wetu, si unakumbuka wapigania uhuru wetu wa BAWACHA kwa sababu ya dharau zake walimkwida na kuchapa mangumi ya kike nje ya mjengo?
 
MKUU,
JE WW unaona ni sahihi bunge kuruhusu safari za RAISI?sidhani kama n sahihi utakua ni mzunguko mkubwa na kunyima uhuru pillar nyingine ya nchi.
pia huu ndio wakati wako toa mawazo yako na yakubalike kwenye katiba mpya


Sio sahihi bunge kuidhinisha safari za Rais, hasa ukizingatia hadhi ya Taasisi ya Rais. Isipokuwa Rais mwenyewe kwa vile amechaguliwa na wananchi ambao wengi wao ni maskini anatakiwa apime tija itakayopatikana kutokana na safari anayotaka kwenda.
 
Kweli anatakiwa ahamie jeshi la kusaka mabadiliko. kama tu haongei hivyo kwa kutafuta kupozwa kwa vyeo kama mwakymango.

Huyoo jamaa (MH DEO FILIKUNJOMBE) umagambaa aliutumia sanaa kupata kiti hicho na akagundua muhula ujao wakati wake ni mgumu sanaa kupenyaa tena kupitia magamba. Anajitengenezeaa njia na kama akiamua kama Millya basi 2015 atarejeaa tena mjengoni. Yupo karibu na Zitto kimkakaati..
 
Nimesikiliza Filikunjombe vizuri na nimezipenda hoja zake; kimsingi, alikuwa anafafanua dhana ya bunge kuishauri na KUISIMAMIA serikali. Akatoa mfano kwamba kuna nchi nyingine Rais anapotaka kusafiri anapewa kibali na Bunge.
 
Akielezea utumiaji mbaya wa madaraka serikalini na mashirika ya umma filikunjombe amesema nchi nyingine raisi hawezi kusafiri bila ya bunge kuidhinisha safari. Amesema kipigo magamba walichokipata arumeru ni fundisho tosha jinsi wananchi walivyokata tamaa na ccm. Source-kipindi cha jambo leo tbc1


Filikunjombe ni nani jamani? mwanasiasa au ...?

Hivi kweli hajui kuwa kuna Bajeti ya IKULU inayopitishwa na Bunge?
Je hajui kuwa ndani ya bajeti hiyo kuna kila kitu cha Rais na matumizi yake ikiwemo safari zake?

Vizuri ajifikirie kabla kunena.


 
Heh Filkunjombe yupi, yule aliyekoswa ngumi na kinawenje mwaka jana kwa matamshi yake ya kipuuzi? Naona M4C itakuwa imeanza kwa mafanikio sana endapo watu kama hawa wananzinduka na kuanza kuona kabla hawajaonyeshwa! Thats great
hawa watu wanaokuwa wamoto sana kubisha ni lahisi pia kubadilishwa kuliko wale waliokaa kama mazuzu hao huwa wanakufa na chama chao!
 
Filikunjombe ni nani jamani? mwanasiasa au ...?

Hivi kweli hajui kuwa kuna Bajeti ya IKULU inayopitishwa na Bunge?
Je hajui kuwa ndani ya bajeti hiyo kuna kila kitu cha Rais na matumizi yake ikiwemo safari zake?

Vizuri ajifikirie kabla kunena.


basi kwa miaka ya JK bajeti ya ikulu imekosewa, watampangiaje safari raisi mwaka mzima kwani yeye ni katibu mkuu ya UN??
 
Uhuru gani unaosema, juzi tumeambiwa hali ya kiuchumi ni mbaya kiasi kwamba baadhi ya wizara kunyimwa pesa, bado anatumia mabilioni kusafiri kuna ulazima gani yeye kufanya hivyo?

We kiazi kweli unataka manufaa yapi ya kwako wivu tuu
 
Back
Top Bottom