Hata vyombo vya habari, vimeacha kumuona kama habari ukilinganisha na siku za awali tangu atiwe nguvuni.
Yule tapeli keshakimbilia Canada, alikuwa anajinasibu anaweza kukusanya fedha za kuendesha CDM na hata kulipa makatibu wa kata wa CDM.
Kanuni hiyo imetaja ni katika hali gani kituo cha kuhesabia kura kinaweza kubadilika?
Umeandika kuibua hisia, hujaandika kuelimisha. Ulitakiwa kujumuisha jibu la swali nililokuuliza kwenye mada yako.
Apewe ujumbe wa kamati kuu Chadema, analichafua kanisa. Kanisa limekubali kutumika kisiasa. Huu ni udhaifu wa Kanisa Katoliki.
Kitima ameshindwa kuficha maslahi binafsi aliyonayo kwa msingida mwenzie Lissu. Kanisa Katoliki kuendelea kumuacha Kitima kuwa kiongozi wa Kanisa ni udhaifu wa kimfumo...
Apewe ujumbe wa kamati kuu Chadema, analichafua kanisa. Kanisa limekubali kutumika kisiasa. Huu ni udhaifu wa kitaasisi.
Kitima ameshindwa kuficha maslahi binafsi aliyonayo kwa msingida mwenzie Lissu. Kanisa Katoliki kuendelea kumuacha Kitima kuwa kiongozi wa Kanisa ni udhaifu wa kimfumo dhidi...
Kiburi chao kimeondoka, akili imeanza kuwarudi na kufahamu kwamba hawawezi kuzuia uchaguzi pekee yao. Wanahitaji kuunganisha nguvu na vyama vingine vya upinzani. CDM wanarusha mateke ya mwisho ya punda anaepoteza uhai.
Tuliwaeleza tangu awali, Lissu na genge lake wamefanikiwa kuigawa CDM na...
Halifungwi kwasababu ni "la hovyo"(kwa maoni yako, kama ulivyoyatoa). Linafungwa kwasababu ni takwa la kikatiba ili kuruhusu matakwa mengine ya kikatiba kuendelea. Asante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.