Recent content by Uguswelana chane

  1. Uguswelana chane

    Shime shime vijana tujitokeze kushinikiza Bunge libadili Katiba ili kuongeza muda wa Urais

    Vijana wanakufa mtaani huku ajira hamna kabisa. Tangu aingie madarakani ajira amezipa kisogo ili apate sifa za kujenga SGR ambayo hauna msaada wowote. Mi hata kesho ikitokea mtu wa kumpuga risasi nitafurahi Sana na nitashinda baa siku nzima au wiki nzima mana ndo utakuwa mwanzo was vijana nao...
  2. Uguswelana chane

    Dhuluma ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa yatinga kwenye vyombo vya habari vya Kimataifa

    Wauzie sera wapi wakati hata uwanja wa kuuzia hizo sera wananyimwa.
  3. Uguswelana chane

    Kumbe nguvu ya Mhe. Lowasa ni kubwa na ndio ilikibeba CHADEMA kwenye uchaguzi wa 2015

    K Kwani kufanya mikutano Jimbo jingine ni kuvunja katiba! Au nyie katiba mmeiweka pembeni Kwanza mnapuyanga ya kwenu
  4. Uguswelana chane

    Kuelekea Siku ya Kimataifa ya Kupinga Ukatili dhidi ya Wanahabari Duniani; Mkutano wa Twaweza na wanahabari washindwa kufanyika

    Nchi inaharibiwa na magufuli mwenyewe asiyejali vijana wanaohangaika mtaani bila ajira tofautu na kipindi cha jk.
  5. Uguswelana chane

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Huu siyo utunzi ni ukweli. Kwani haya hayapo? Au aliyeshiba hamjui mwenye njaa!!
  6. Uguswelana chane

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Imechujaje wakati. Serikali za mitaa vyama vya upinzani vinanyimwa form kibabe. Wanajua CCM watu hawaitaki kabisa.
  7. Uguswelana chane

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Mambo makuu 4 yanayochukiza Watanzania kwa sasa 1. Hali mbaya ya Uchumi: Maisha magumu kwa Wananchi- DHULMA 2. Ajira: Vijana wengi kutokuwa na kazi 3. Uhuru: Uhuru wa watu kuminywa na watu kuishi kwa HOFU 4. Usalama: Matukio ya utekaji na mauaji ya watu kushamiri - UKATILI
  8. Uguswelana chane

    Vikwazo kwa Zimbabwe viondolewe na pia vikwazo kwa vyama vya upinzani Tanzania viondolewe

    Mfano halisi ni mbeya ambapo watendaji wamejificha au hawapokei simu za wagombea wa chadema ili kuchukua form. Hivi ndo vikwazo vinavyozungumzwa. Ccm inaogopa sana hakuna anayeipenda.
  9. Uguswelana chane

    Mjapan: Kwa kasi hii ya maendeleo Rais Magufuli alistahili kuishi Japan maana anaamini katika kazi siyo siasa

    Usitufanye mapoyoyo hayo Ni mawazo usijifiche kwenye mgongo wa mjapani. Jpm anaharibu nchi. Ajira hamna Ila Kuna midege
  10. Uguswelana chane

    Kushangilia ununuzi wa ndege wakati Tanzania bado kuna shida kubwa ya maji

    Anayependa ubaguzi Ni yeye mwenyewe jpm. Refer kwenye mikutano yake ya hadhara anawatukana wapinzani hadharani mbele ya wapiga kura wao harafu eti mnataka ushirikiano, ushirikiano upi? Upinzani nchini umekuwa kama wahaini hata wakiomba kufanya mikutano kutoa mawazo yao police wanakuja na...
  11. Uguswelana chane

    How the Dreamliner is Killing Tanzanians dream?

    Mbona nyie ccm mnaongea kama hamna akili. Nani kakwambia maisha huwa yanasimama kupisha ununuzi wa ndege Kwanza? Unataka vijana wafe Kwanza kwa kukosa ajira. The man has said about increasing unemployment rate in Tanzania and yet you are uttering nonsense.
  12. Uguswelana chane

    Kushangilia ununuzi wa ndege wakati Tanzania bado kuna shida kubwa ya maji

    Kushangilia ununuzi wa ndege wakati Tanzania bado kuna shida kubwa ya maji, miundombinu, umeme, ajira na kilimo ni kukosa vipaumbele katika maisha. Kuna tofauti kubwa kati ya "Think Smart" na "Think Big". Katika maisha ya sasa ni bora wanao kuzomea kuliko wanao kushangilia. Time will tell.
  13. Uguswelana chane

    Mambo mengi anayoongea Prof. Kabudi ni Utopian

    Unataka waoneeheje kama kila siku wanabambikiwa kesi mahakamani kiaribu kila kiongozi wa upinzani amepewa kesi! Istoshe wakiitisha mikutano kuongea na wananchi wanatishwa na intelligensia ya polisi! Utafanyaje uongozi wakati unanyimwa room ya kufanya siasa. We mjinga kabisa huna akili
  14. Uguswelana chane

    Mambo mengi anayoongea Prof. Kabudi ni Utopian

    Anaongea as if Wazungu wanaona uchungu na sisi Waafrika kuumia wakati kuumia kwao ndiyo furaha yao. Halafu anafikili Wazungu wanapelekeshwa. Sana sana watatuwekea na sisi vikwazo kwa kuisaport Zimbabwe halafu tuone hao Wachina watatusaidia Nini. Wachina hata waone Waafrica wanachinjana wao...
Back
Top Bottom