Hi riwaya ímeandikwa vizuri sana. Mimi nilianza ilipoanza. It's griping and exhilarating. Episode Moja kwenye mwanzo za sitini nilisoma paragraph Moja siku tatu kwasababu ya uwezo mkubwa wa muandishi kumuweka msomaji kwenye viatu vyake.Binafsi naona ungeganya masters ya fasihi ingekuwa impactful...
Mpendwa ,
CNG pia itauzwa na wafanyabiashara tu.Tena itawalipa kwasababu wanaweza kujenga regional CNG trading companies kwa nchi zote zinatuzunguka. Hiyo itawatajirisha mno kushinda kuwa na vicampuni vidogo vya ndani tu vya kuchuuza mafuta.
Nina kiwanda kidogo kinajishughulisha na ukamuaji wa mafuta ya Alizeti. Natafuta wateja wa mashudu ya alizeti. Nina tani tatu za alizeti kwasasa.
Kiwanda kipo Morogoro na tunasafirisha kwenda popote Tanzania kwa gharama nafuu. Ukihitaji njoo PM tuongee biashara.
Asante.
Hedge ya uhakika wa kupanda Kwa bei ya mafuta ni kuhamia kwenye CNG.Bei ya CNG ni hiyo hiyo huu sijui ni Mwaka wa ngapi.
Annual import bill ni karibu USD billion 15 kati ya hiyo USD billion 3 ni mafuta.Mimi naamini EWURA wakimwambia Kila mwenye kituo Cha kuuza mafuta tunakupa miezi mitatu...
Pasina shaka board mwenyekiti ni Omar Issa na MD ni Maharage Chande ni watu wenye strong private sector background lazima upate faida tu.Binafsi natamani hesabu zilizokaguliwa za tanesco ziwe wazi za miaka mitatu mfululizo Ili nielewe wamewazaje kuligeuza shirika mpaka kupata faida hiyo. Kongole...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.