Hapa ndipo tunaposhindwa kuwaelewa na Nassari amesema kwenye conference yake alikuwa anashughulikia matatizo ya uzazi ya mkewe nje ya nchi wewe leo unatuambia umeongea nae kwa simu jana usiku akakwambia Novemba alikuwepo bungeni. Sasa wewe na Joshua mwenyewe nani muongo
Badala ya mtu kuleta hoja yake, akikutana na mada ngumu hana point za kuchangia anaanza kuita wenzie vilaza na kuporomosha kila aina ya neno baya. Kama huna point unaweza ukajihudumia ukaenda kulala tu sio lazima ucomment au ndio wale wa kulipwa kwa INTERACTIONS walizofanya mitandaoni. Sasa...
By Special Correspondent, Pretoria,20-02-2019:
AFRICAN countries have been advised to emulate Tanzania’s President John Pombe Magufuli in efficient management of their country’s natural resources for the interest of the people.
“I am African. We are all Africans. President Magufuli is...
Hivi kwa kuanzia tu, binadamu ni Lissu peke yake? Raia wangapi wanaua wenzao kila siku na hatujasikia mkizunguka duniani kuwasimulia? Angesimulia tukio la kupigwa kwake risasi na si kukashifu nchi na serikali yetu. Yeye anampinga JPM na vilaza wezie wachache lkn wapo tunaomkubali JPM kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.