Na watu bado wanaenda kuisoma, vijana wako desperate sana.Kitu wanachoitaji ni kusajiunga na masomo ya chuo kikuu haijalishi ni course gani.
We have a long journey to go.
It makes senses,Ifike hatua watu wajikite kwenye kujua na kutafuta sababu(Rational Thinking) na kuachana na kuamini.
Imani zimekaa kama propaganda au manipulation flan ivi.
Logically, There is no existence without a Creator. Iyo ni ishara tosha kua ivi vitu viliumbwa apo kabla then vikapewa muendelezo(continuity) ndio maana watu huzaliana na mimea huendelea kuota hivyo basi hakuna uumbaji mpya, uumbaji wote ulishafanyika apo kabla.
Kama uumbaji upo basi pia...
Kitu kimoja nilichojifunza adi muda huu ni kwamba,Haina budi kujifunza jinsi ulimwengu wa kiroho unavyofanya kazi.
Naona kama mojawapo ya viumbe tunaoishi katika huu ulimwengu hatuwezi kujitenga na nature,Everthing matter na kila kitu kinachotokea kwenye maisha yetu sio kwa bahat mbaya,we are...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.