Hao itakuwa wamelipwa na mabeberu ili kuichafua serikali ya daktari mtufukufu samia kwa sababu wanawinda raslimali zetu wanaogopa tusije kuwa dona kantrii
Binafsi sina Imani na mwanambogamboga yeyote wote hao lao ni moja tu.
Wameona watanganyika ni wepesi wa kutoka kwenye reli wameona wake na drama hizi.
Shetani hajawahi kubatizwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.