Recent content by Uchumiwakati

  1. U

    JamiiForums Tanzania Maafisa usafirishaji wa mtandao, maarufu kama bodaboda za mtandao, wamefunga barabara katika eneo la Chuo cha Biashara (CBE) Posta, Jijini Dar es sala

    Hao itakuwa wamelipwa na mabeberu ili kuichafua serikali ya daktari mtufukufu samia kwa sababu wanawinda raslimali zetu wanaogopa tusije kuwa dona kantrii
  2. U

    JamiiForums Tanzania BMT yataja fursa 12 AFCON 2027, Wananchi na wadau wahimizwa kujiandaa mapema

    Wazee wa mabomu huwa hawachekeshi.
  3. U

    JamiiForums Tanzania Mwanri kumuacha Mungu na kujiunga na Shetani jiandae kudhalilika

    Wakati mauaji yanatokea nchi ilikuwa inatawaliwa na chama gani?
  4. U

    JamiiForums Tanzania Nyumba za Polisi zateketea kwa moto Tanga

    Naupa pole moto 🔥 kwa usumbufu uliojitokeza. Pia tumepoteza maji ya Mungu bure na hayo ni matumizi mabaya ya rasilimali
  5. U

    JamiiForums Tanzania Kuna Vyombo Vya Habari vimefuta hotuba ya Nchimbi kwenye mitandao ya kijamii?

    Binafsi sina Imani na mwanambogamboga yeyote wote hao lao ni moja tu. Wameona watanganyika ni wepesi wa kutoka kwenye reli wameona wake na drama hizi. Shetani hajawahi kubatizwa
  6. U

    JamiiForums Tanzania Heche: Tutawaandikia barua FIFA na CAF kuwaeleza Serikali imesema kuna 'Ugaidi' wasilete Watu AFCON

    Hadi sasa serikali yetu imara chini ya mtukufu SAMIA imekamata magaidi zaidi ya 50 na wapo magerezani hadi sasa .
  7. U

    JamiiForums Tanzania Tone Tone ya Baraza Kuu la Chadema yazidi Kutikisa Nchi, sasa imebakia Mil 100 kukamilisha lengo

    Tena inatakiwa achangiwe hadi hela za kuhonga mkuu
  8. U

    JamiiForums Tanzania Heche: Tutawaandikia barua FIFA na CAF kuwaeleza Serikali imesema kuna 'Ugaidi' wasilete Watu AFCON

    Heche yeye hataki kuona maafa viwanjani wakati wa AFCON maana magaidi hawachelewi kujitoa mhanga kwa mabomu. Wewe uko tayari kwenda uwanjani huku ukijua kabisa muda wowote magaidi wanaweza kufanya tukio?
  9. U

    JamiiForums Tanzania Tone Tone ya Baraza Kuu la Chadema yazidi Kutikisa Nchi, sasa imebakia Mil 100 kukamilisha lengo

    Heche inatakiwa ajengewe ghorofa ili awe analala pazuri mkuu
  10. U

    JamiiForums Tanzania Heche: Tutawaandikia barua FIFA na CAF kuwaeleza Serikali imesema kuna 'Ugaidi' wasilete Watu AFCON

    Shida siyo CCM wala CHADEMA lengo ni kulinda uhai wa watu. Kwa sababu magaidi huwa hawacheki na wowote wakilipua bomu linampata yeyote bila kujali ni bodaboda au nani.
  11. U

    JamiiForums Tanzania Heche: Tutawaandikia barua FIFA na CAF kuwaeleza Serikali imesema kuna 'Ugaidi' wasilete Watu AFCON

    Huoni kwamba watawanusuru watu wataokuja AFCON ili wabaki salama kwenye mataifa yao . Wasije wakalipuliwa bure na magaidi wa Tanzania kaka
Back
Top Bottom