Hao itakuwa wamelipwa na mabeberu ili kuichafua serikali ya daktari mtufukufu samia kwa sababu wanawinda raslimali zetu wanaogopa tusije kuwa dona kantrii
Binafsi sina Imani na mwanambogamboga yeyote wote hao lao ni moja tu.
Wameona watanganyika ni wepesi wa kutoka kwenye reli wameona wake na drama hizi.
Shetani hajawahi kubatizwa
Heche yeye hataki kuona maafa viwanjani wakati wa AFCON maana magaidi hawachelewi kujitoa mhanga kwa mabomu.
Wewe uko tayari kwenda uwanjani huku ukijua kabisa muda wowote magaidi wanaweza kufanya tukio?
Shida siyo CCM wala CHADEMA lengo ni kulinda uhai wa watu.
Kwa sababu magaidi huwa hawacheki na wowote wakilipua bomu linampata yeyote bila kujali ni bodaboda au nani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.