Mkuu, mbona hoja yako umeiacha angani. Hatujui kama unatu:- Eleza, uliza, unashangaa; maana mwisho wa hoja yako haina alama muhimu za kukamilisha sentence yako kama hizi (., ?, !, ;).
Mkuu, sekta ya kilimo sasa imeingiliwa sana na TEMBO, hali ni mbaya sana. TANAPA wapewe fungu kubwa kwenye bajeti yao ili kuwa wezesha kutoa huduma bora za kihifadhi kama, kuchimba mabwawa makubwa ya kuhifadhi maji kwa ajili ya wanyama, matengenezo ya mara kwa mara ya barabara ama mipaka ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.