Tukiwa tunakumbuka siku ya kifo cha Mwl J.K.Nyerere tunaamini kuwa aliishi kwa kuipenda nchi yake na uadilifu,utu,nidhamu kwa Taifa lake.
mwl Nyerere alisifika kwa misimamo yake thabiti ya kimaendeleo.tukiwa tunaingia katika uchaguzi mkuu tujiulize nani kati ya Magufuli na lowassa ambaye...
Nilimsikiliza mzee Butiku kwa makini sana, pamoja na kujinasibisha kwake na maadili ya kiuongozi katika awamu ya kwanza, pamoja na kujinasibisha kwake na kuisema iliyo kweli bila kuacha chembe ya shaka katika kusimamia misingi, mzee wetu ameshindwa kukiri kuwa CCM hawana uhalali wala mamlaka ya...
Taarifa zilizopo rasmi toka ndani ya CCM, wanamvutia kasi mgombea wa cdm kwa kauli zake ambazo zinaashiria ameanza kutoa ahadi wakati kampeni bado.
Juzi Nape alizungumza na wanahabari na akaonesha wao wanaepuka kuanza kampeni mapema sio kama CHADEMA. Mpango uliopo ni kumkatia rufaa Lowassa...
hali inavyoonekana sasa kila Jimbo la uchaguzi kutakuwa na wagombea watatu,mmoja kutoka ukawa,wa pili ccm na wa tatu atatoka act,hii ni aibu kwa act kama ni chama cha upinzani au pandikizi la ccm.kinachoshangaza ni ccm kuitetea act kulikoni?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.