Recent content by ubuyu1989

  1. U

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Samahani we umewezaje kulog in coz mim nlijiunga juz kila step nkafuzu na acount activation ikawa sawa ila nkilog in wanasema no founder nsaidie nfanyeje na pia user name n ipi na password n ile ya kutoka google email before acount activation au n mpya utakayotengeneza nsaidie tafadhar namiss...
  2. U

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Aise imegoma t nkiaselect inafail ila nkichoose zile za kuipa ushind direct inakubal sjui tatzo n nn wakuu nataman kubet over 1.5 inagoma kabisa
  3. U

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Samahan wakuu naomba mnisaidie kitu kimoja mimi kila nkiingia mkeka bet na kuchagua timu zangu huska so ikifka mda wa kuweka stake inasoma pesa ya timu moja na hii inatokea kwa multipal bet ila nkichoose direct win hailet shida
  4. U

    Mwanaume aliye serious

    Mimi ni mwanamke mwenye miaka 27 nahitaji mwanaume wa kuishi nae mimi, nipo serious, maelezo zaidi ni pm tuzungumze kuhusu dini, na kazi na ninapoishi, kejeli pembeni.
  5. U

    Kagera: Rais, serikali haitajenga nyumba za waathirika wa tetemeko. Azuia msaada wa chakula Missenyi

    Hii ndo serikali tuliyoitaka,hatna budi kunywa machungu yake ila mwisho wake upo t
Back
Top Bottom