Recent content by Ubuju

  1. Ubuju

    JamiiForums Tanzania Hii bei ya mafuta wiki chache zijazo tutaiona ni bei ndogo

    Kila Kila kitu kina faida kwa muda wake byd zinunuliwe sasa
  2. Ubuju

    JamiiForums Tanzania Dini ndiyo 'Software' (KIRUSI) namba moja inayo-Program Waafrika kuwa Masikini wa kutupwa kizazi hadi kizazi

    Kwenye kumwachia Mungu ata kwa jambo dogo ambalo lipo under uwezo wa mwanadamu Tanzania ndo tunaongoza hatutaki shida ya kufikiri sana
  3. Ubuju

    JamiiForums Tanzania Netanyahu amekiri kuwapa HAMAS ufadhili wa fedha $1+ billion

    Yah ndo anachofanya ila kuna shida ya upungufu wa wanajeshi nakurudi nyuma hataki
  4. Ubuju

    JamiiForums Tanzania Netanyahu amekiri kuwapa HAMAS ufadhili wa fedha $1+ billion

    Ukipata muda check hizi documentary zero days 2016 na hostage s 2022 ndo ujue bwana bibi ni mastermind.
  5. Ubuju

    JamiiForums Tanzania Ni nchi gani ya Kiislamu ambayo bunge la Israel linapiga kura kuitangaza kuwa adui?

    May be ila Netanyahu ni mwehu tu
  6. Ubuju

    JamiiForums Tanzania Ni nchi gani ya Kiislamu ambayo bunge la Israel linapiga kura kuitangaza kuwa adui?

    Bunge la Israel, Knesset, litapiga kura, kuhusu usomaji wa awali wa mswada uliowasilishwa na kiongozi wa upinzani Yair Lapid, wenye mada: "Kuitangaza Qatar kuwa taifa adui." Maandishi ya pendekezo hilo ambayo yana kifungu kimoja tu, yanaifafanua Qatar kuwa "taifa adui," na inaeleza kuwa vifungu...
  7. Ubuju

    JamiiForums Tanzania Tanzania yashika namba 2 kwenye orodha ya nchi zinazoamini ushirikina duniani

    Kuna Benin hao ni fire
  8. Ubuju

    JamiiForums Tanzania KERO Course ya Ordinary Diploma in Heavy Duty Equipment Engineering kutokuwepo kwenye mfumo inatukosesha kazi

    Hii ni mbaya sana sijui malengo yao ni nini
  9. Ubuju

    JamiiForums Tanzania KERO Course ya Ordinary Diploma in Heavy Duty Equipment Engineering kutokuwepo kwenye mfumo inatukosesha kazi

    Kwa kweli ni shida na hawataki au sijui ni maelekezo tu maana kuna mfumo kama taesa ni wa serikali ivyo ivyo kozi imetambulika bila shida ERB wanaitambua ila ikija kwa utumishi shughuli ndo inaanza hapo
  10. Ubuju

    JamiiForums Tanzania KERO Changamoto ya vifaa vya kufundishia kwa course ya Ordinary Diploma in Heavy Duty Equipment Engineering inaferisha vijana kwenye soko la ajira

    Habari wakuu, Course ya Ordinary Diploma in Heavy Duty Equipment Engineering inayotolewa katika chuo cha ufundi arusha (ATC) ambayo ina miaka 5 toka iyanzishwe inapitia magumu sana kwa wanafunzi wanayosoma kwasababu hakuna mitambo ya kujifunzia uliopo ni fuvu tu haifanyika kama ilivyo hapo...
Back
Top Bottom