Recent content by Ubuju

  1. Ubuju

    Ni nchi gani ya Kiislamu ambayo bunge la Israel linapiga kura kuitangaza kuwa adui?

    Bunge la Israel, Knesset, litapiga kura, kuhusu usomaji wa awali wa mswada uliowasilishwa na kiongozi wa upinzani Yair Lapid, wenye mada: "Kuitangaza Qatar kuwa taifa adui." Maandishi ya pendekezo hilo ambayo yana kifungu kimoja tu, yanaifafanua Qatar kuwa "taifa adui," na inaeleza kuwa vifungu...
  2. Ubuju

    KERO Course ya Ordinary Diploma in Heavy Duty Equipment Engineering kutokuwepo kwenye mfumo inatukosesha kazi

    Kwa kweli ni shida na hawataki au sijui ni maelekezo tu maana kuna mfumo kama taesa ni wa serikali ivyo ivyo kozi imetambulika bila shida ERB wanaitambua ila ikija kwa utumishi shughuli ndo inaanza hapo
  3. Ubuju

    KERO Changamoto ya vifaa vya kufundishia kwa course ya Ordinary Diploma in Heavy Duty Equipment Engineering inaferisha vijana kwenye soko la ajira

    Habari wakuu, Course ya Ordinary Diploma in Heavy Duty Equipment Engineering inayotolewa katika chuo cha ufundi arusha (ATC) ambayo ina miaka 5 toka iyanzishwe inapitia magumu sana kwa wanafunzi wanayosoma kwasababu hakuna mitambo ya kujifunzia uliopo ni fuvu tu haifanyika kama ilivyo hapo...
Back
Top Bottom