Recent content by uaminifukazi

  1. U

    INAUZWA Fridge mpya aina ya westpoint inauzwa

    Fridge imetumika wiki 3. Inauzwa tsh.700,000/= Inagandisha, Inapoza na Ina water dispenser. Ipo Tegeta. Kwa mawasiliano 0753166010
  2. U

    Rais Samia anafanya kweli. Mashirika ya Umma kuwa ya Umma kiukweli

    [emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787].. Una kitu, utafika mbali... Takbiir...
  3. U

    Chacha Maboto, Mbunge wa Bunda (CCM): Lugha ya kwenye Mkataba wa DP World sikuielewa, mnisamehe

    Me namuonaga kama taahila flani asiyejielewa wala kujua anataka nini? Yupoyupo kama malaya anataka kila upande awepo.
  4. U

    Hivi Kajala na Jonas Mkude watafanya mapenzi yao ya siri mpaka lini?

    Siku hizi wanaume wamekua wambea kuliko wanawake
  5. U

    Kusema Rais anashauriwa vibaya ni kujaribu kueleza kuwa Rais hana akili; naona ni ukosoaji wa kinafiki

    Tatizo we kinachokusumua ni udini. Nilikuaga nahisi utakua mtu wa maana hapa jukwaani kumbe debe tupu. Kadri unavyozidi kufungua kinywa ndo unaonekana empty. Mleta mada hajampoint kiongozi yoyote kwa jina lake bali kaizungumzia taasisi ya Urais. Mbona Taasisi ikifanya jambo zuri mnakimbilia...
  6. U

    Doctor Isaac Maro ni nani?

    Kirefu sijui ila ipo sinza afrikasana
  7. U

    Ruge Mutahaba anaumwa nini?

    Duh mtu kuumwa ni karma? Acha ulimbukeni wa kukulilishwa ujinga na watu waliofeli maisha.
  8. U

    Sasa ndio mtaamini nani mmiliki wa wasafi tv na redio

    Nakuhakikishia Ruge akivuta ndo mwisho wa Clouds, hata akija mnunuzi mwingine still Ruge akabakizwa bado kampuni itasavaivu. Kufeli kwa tamasha la juzi ni kukosekana kwake ndo maana unaona wasanii kibao wako busy insta kumuombea apone, now ndo wanaanza kuuona umuhimu wake kwenye industry. Ishu...
  9. U

    Sasa ndio mtaamini nani mmiliki wa wasafi tv na redio

    Maelezo yako sahihi asilimia 95. Na pale kuna ndugu wengine God, Judi, na Andrew wote watemi ni kama ukoo wa kambale. Wanawindana Ila ukweli clouds ni Akili ya Ruge ndo kaply part kubwa mpaka kuwa super brand ila wale ndugu walivyo na roho mbaya walishindwa hata kumpa share kwani wazo la...
  10. U

    Nilichokiona WASAFI Festival ni tofauti na namna ilivyopromotiwa

    Jiandae kuporomoshewa mitusi na watoto wa jf coz ukweli hawaupendi, wamefunikwa na wingu zito la ushabiki. Kule insta naona Dada wa Taifa ashachafua hali ya hewa kuhusu umiliki wa share za mond ndani ya wcb. Kaweka document ya leseni ya TCRA watoto hawaamini wanatoa mapovu tu. Wanahubiri...
  11. U

    Kusaga vs Ruge, Wasafi vs Clouds

    Coconut FM 88.9 frequency ya zanzibar ndo imebadilishwa kuwa wasafi FM, kuna wakati inakua hewani kwa dakika kadhaa na wasafi inapotea. Unajua hiyo coconut fm inamilikiwa na nan? Ukiachana na Peps mdhamini mkuu wa wasafi festival kuna wadhamini wengine, kama 3mzuka zinamilikiwa na joh pamoja na...
  12. U

    Kusaga vs Ruge, Wasafi vs Clouds

    Beef limetengenezwa kimkakati kumtoa majizo mchezoni... Mjini mipango, washamba hamuwezi kuelewa.
Back
Top Bottom