Recent content by uaminifukazi

  1. U

    GE2025 Katibu mkuu chama Makini: Waandishi wa habari watafanyiwa semina Canada

    Uchaguzi wa kwanza toka kuanzishwa mfumo wa vyama vingi kuwa na wagombea vilaza.
  2. U

    GE2025 Salum Mwalimu: CHAUMMA ikishika dola, itabeba gharama zote za timu itakayoshiriki Michuano ya Klabu bingwa Afrika

    Uchaguzi wa kwanza toka mfumo wa vyama vingi uanzishwe kuwa na wagombea Vilaza
  3. U

    Rais Samia akishiriki Uzinduzi wa Hema la Mwamposa, Julai 5, 2025 Viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe

    Vyote vinaenda sambamba. Mchungaji yu smart ukijumlisha na ujinga wa watu ni mwendo wa kupiga hela.
  4. U

    Leo hii Esther Bulaya ni wa kusema CCM aliyohamia ni sawa na Barcelona na CHADEMA iliyomtengeza kuwa Bora alivyo ni Leicester City iliyoshuka daraja?

    Tatizo watu wanashindwa kuelewa siasa za Africa sio kwa ajili ya kuleta maendeleo au kuamini kwenye ikikadi ya chama. Siasa za Africa zipo kama ajira ni kama unavyoona walimu na madaktari. Wanasiasa wapo kwa ajili ya maslahi yao na familia zao. Hawaendi pale kwa ajili ya kusolve matatizo ya...
  5. U

    Jamani nakutana na changamoto na kabila la Waha maofisini

    😁🤣😂 Umwana wuwundi, ahanzula ahomba!!
  6. U

    Hakuna uchawi wa chuma ulete, ni visingizio vya watu wazembe

    Hizo IMANI zote ukichunguza vizuri zinatokana na tatizo la AFYA YA AKILI.
  7. U

    Mbeya: Jeshi la Polisi lazingira Ofisi za Chadema Kanda ya Nyasa

    Team Mbowe wote wako kimya kasoro Boniyai
  8. U

    PreGE2025 Arusha watoa tamko kuwakataa na kuwapinga G55. Wamshangaa John Mrema na elimu yake ya chuo kikuu

    😂... Mwanaume mmoja mlevi ana akili kuliko mwanamke mmoja mwenye PhD ya Heshima.
  9. U

    Mwana Simba Haji Manara amewazidi akili Yanga

    😂😂😂 yupi zai au ex-rushay
  10. U

    PreGE2025 Heche: Posho siku moja tu Bungeni tulikuwa tunalipwa laki nne, halafu Mwalimu kwa mwezi unamlipa laki 4!

    Kipindi yupo bungeni alilisemea sana hili labda kwa mnaomsikia kwa mara ya kwanza ndo mnamshangaa
Back
Top Bottom