Recent content by tztz

  1. tztz

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wakuu sisi ndo atuelewi tumekandwa au imekuwaje tuliomba post ya Admission officer chuo flani baada ya kuchapa written tukaitwa watatu oral dodoma juzi wametoa matokeo kwa kada zote tuliopiga nao kwenye chuo hicho hicho isipokuwa kwa kada ya Admission officer tu sasa swali langu n kuwa...
  2. tztz

    JamiiForums Tanzania Dar es Salaam Institute of Technology(DIT) - Special Thread

    Salama mwalimu unasoma hyo ukimaliza ukirudi kituoni kwako kazi zake utafanyia wapi ufafanuzi kidogo niijue hii kozi
  3. tztz

    JamiiForums Tanzania Ardhi University(ARU) - Special Thread

    Habari wakuu n course gani zinatolewa kwa evening class hapo Ardhi
  4. tztz

    JamiiForums Tanzania KERO Ukerewe: Michango imezidi Shule ya Sekondari Irugwa, pesa ya captation inafanya kazi gani?

    Yego mulawe ebu twambie michango ipi na ipi kwako n kero swala la limu n mchango wa kawaida kusaidia walimu wakati wa kurudufu mitihani ya midterm, terminal, Annual je hela ya mtihani mnatoa kwa ajili ya mitihani ipi ? Kama n mitihani ya Midterm, terminal, Annual basi walimu wanakosea sana hyo...
  5. tztz

    JamiiForums Tanzania MSAADA WA HARAKA KUHUSU MIMBA

    Jhhjj
  6. tztz

    JamiiForums Tanzania Manunuzi ya Subaru Forester

    [emoji3][emoji3]Sawa mkuu hamuwezi lingana wote
  7. tztz

    JamiiForums Tanzania Manunuzi ya Subaru Forester

    Wazo zuri mkuu ili ukitulia unatulia nayo muda mrefu
  8. tztz

    JamiiForums Tanzania Manunuzi ya Subaru Forester

    Shukrani mkuu
  9. tztz

    JamiiForums Tanzania Manunuzi ya Subaru Forester

    Kama huwezi kutoa ushauri wa maana nenda magroup ya watoto wenzio
  10. tztz

    JamiiForums Tanzania Manunuzi ya Subaru Forester

    Hujaeleweka mkuu
  11. tztz

    JamiiForums Tanzania Manunuzi ya Subaru Forester

    Mkuu shukrani sana kwa haya maelezo
  12. tztz

    JamiiForums Tanzania Manunuzi ya Subaru Forester

    So process za kuupata msamaha anaanza kabla hajaagiza ?
  13. tztz

    JamiiForums Tanzania Manunuzi ya Subaru Forester

    Mkuu nifafanulie hii imekaaje anataka kuagiza ya kutembelea hyo Subaru forester je itamgarimu bei gani akishapata huo msamaha
  14. tztz

    JamiiForums Tanzania Manunuzi ya Subaru Forester

    Kuna hyo document alinitumia, so ndo sjaelewa bado inaonesha n kwa mtumishi wa umma yeyote
  15. tztz

    JamiiForums Tanzania Manunuzi ya Subaru Forester

    Nlisikia huwaga Kuna msamaha wa kodi kwa watumishi wa Umma ndo nlitaka kujua je kama bado upo ? Na akiuomba hyo gari hadi anaiweka barabarani n shingapi aandae
Back
Top Bottom