Si watu 10-15, ni muhimu kueleza uhalisia. Wasiliana na Rajab Kwasakwasa (Katibu wa CHADEMA Wilaya) au Rajab Mfaume Bujoro (Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya) akueleze ukweli.
Mkiendelea kuukataa ukweli mtapata shida. Lazima mkubali kuwa mlikosea, mli-underestimate Impact ya maamuzi yenu...
Alitegemea nini? Huo ni utangulizi. Kesho safari Kigoma Kaskazini (Jimbo la ZZK) na Kigoma Kusini (Jimbo la Kafulila). Jumanne Kigoma Mjini - Ngoma inogile!!
Mwisho wa Ubaya ni aibu.
Mtaweweseka Mno mwaka Huu. Mbinu za Ki-CCM. Kumbe vigigi wa CDM mnawahusudu kiasi hicho wavaa magamba? Wakati mnapanga mikakati yenu nani alikuwepo? Mzee wa watu anajidhalilisha na kampeni uchwara na watoa habari waongo.
Wangeripoti kwa uwazi ingekuwa ni aibu. Acha tuendelee kudanganywa na ma-riporter waliojitolea kuuhadaa umma (MAKANJANJA)
Wanachokifanya CDM ni mchezo wa kuigiza: unaweza usiamini
1. Wameandaa ziara ya Dr. Slaa ili kuonesha umma kuwa maamuzi ya kuwatimia Zito na Dr. Mkumbo hayana madhara...
Wangeripoti kwa uhalisia ingekuwa ni aibu tupu. Acha waripoti wanahabari waliobebwa na CHADEMA ili kuwadangaya watanzania - Slaa anajuta kwanini alienda Kakonko, Kibondo na Kasulu.
Ila nimejua kuwa CDM hawana tofauti na CCM kwa mbinuza uongo na kutumia vyombo vya habari + Propaganda. wenye...
Sikuwahi kufikiri kuwa wazee wa Kaskazini wanaweza kuwa na mbinu za "Kichawi" kama za CCM!!
Wanachokifanya CDM ni mchezo wa kuigiza: unaweza usiamini lakini fuatana nami
1. Wameandaa ziara ya Dr. Slaa ili kuonesha umma kuwa maamuzi ya kuwatimua Zito na Dr. Mkumbo hayana madhara wala...
Mbinu chafu sawa na za CCM: Kwani nani hafahamu kuwa
wanachofanya CHADEMA ni mchezo wa kuWanachokifanya CDM ni mchezo wa kuigiza: unaweza usiamini lakini fuatana name
1. Wameandaa ziara ya Dr. Slaa ili kuonesha umma kuwa maamuzi ya kuwatimia Zito na Dr. Mkumbo hayana madhara wala athari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.