Recent content by TZCHINA

  1. TZCHINA

    Usichokijua unavyokuwa unafanya application ya nafasi za kazi mitandaoni

    TMH/Tindwa Hawa nao kila siku kuna nafasi za kazi
  2. TZCHINA

    Miradi ya Viwanja Chini ya Halmashauri.

    Leo nilikuwa naangalia mfumo wa leseni (Tausi Portal) nikaona section ya Land Sale, wame list Halmashauri zenye miradi ya kuuza Viwanja kwa matumizi mbalimbali mfano Biashara, Makazi pia Biashara na Makazi. Issue yangu kama wameweza kutangaza katika mfumo kwa nini wasiruhusu pia mtu kufile...
  3. TZCHINA

    Mkopo wa Milioni 50 NMB na CRDB riba yake ni kiasi gani kwa mwaka?

    Ahsante kwa swali kwa muulizaje. Naomba nami niulize. Kwa bank yetu pendwa nmb kwa watumishi wa umma. Mwenye take home ya 600,000 mkopo wa miaka 3 anaweza kupata kiasi gani maximum baada ya makato yote katika kuchakata mkopo husika. Mwenye uelewa naomba anisaidie. Natanguliza shukurani sana.
  4. TZCHINA

    Napata faida ghafi kwa siku 400,000=lakini mtaji hauongezeki

    Hili taifa halitaendelea kwa kuwa na Vijana waongo waongo namna hii. Nimefatilia sana timeline yako na thread nyingi sana umeshaanzia ambazo kwa kuzifuatilia zote zina mashaka.
  5. TZCHINA

    Napata faida ghafi kwa siku 400,000=lakini mtaji hauongezeki

    Faida ghafi siyo mauzo, ni Kiasi cha mauzo kinachobaki baada ya kutoa gharama za manunuzi ya stock husika.
  6. TZCHINA

    Napata faida ghafi kwa siku 400,000=lakini mtaji hauongezeki

    Mauzo yako kwa siku ni kiasi gani?.
  7. TZCHINA

    Napata faida ghafi kwa siku 400,000=lakini mtaji hauongezeki

    FAIDA GHAFI AU MAUZO? Weka sawa hii tukushauri.
  8. TZCHINA

    Nina jumla ya gunia 1,000 za pumba ya mahindi zenye ujazo wa debe saba @1. Natafuta soko

    Habari wana jamvi, natafuta soko la pumba za mahindi. Kwa sasa nina jumla ya gunia 1,000 zenye ujazo wa debe saba kila moja. Mahali: Kasulu Kigoma Mawasiliano: +255 76 2 061 694 Ahsanteni sana.
  9. TZCHINA

    Fahamu Tabia 15 za Wanaotafuta Utajiri

    C&P Ukiona hivyo haja create yeye.
  10. TZCHINA

    Leseni ya kukopesha mikopo midogo midogo

    Nimesoma comment zote, wengi hawaijui hii biashara. 1. Jiulize kwa nini ukiingia kwenye Menu ya Mpesa kuna wakopeshaji wengi?. 2. Kwa nini mpka sasa kuna mikopo ya mtandaoni 3. Pongezi kwa BOT, ili uingie kwenye biashara hii lazima uwe mtaalamu wa mambo ya fedha au biashara tofauti na hivyo...
  11. TZCHINA

    Jihadhari na makampuni ya Kitanzania yanayoagiza magari

    Hahahaa, wakenya wanalia kila siku baada ya wachina kuingia mtaa kuuza bidhaa. Kuna chimbo lao moja linaitwa China supermarket.
  12. TZCHINA

    UTT AMIS naona kwenye account yangu ya UTT hela imeongezeka kidogo

    Mbona unatumia nguvu sana!. Kazi ya sale ni balaa unaweza chizika kabisa.
Back
Top Bottom