JE, UNAMUONAJE JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI, MACHO YAKO YANAONA KAMA SISI?
Mwendi R.D
+255739333332
Serikali ya awamu ya tano kupitia kiongozi mahili Mh. Rais John Pombe Joseph Magufuli imefanya mambo mengi na makubwa ya kimaendeleo yanayopelekea wananchi wengi ikiwemo wanyonge na wenye hali ya...
Uliwezaje ku comment kitu usichokielewa? Mimi sijaelewa ulichokiandika ndiyo maana nimekutaka urudie, kama huwezi itatosha kuhitimisha kuwa hukuwa umeeleww hata ulichokiandika
Na watanzania wote hata wewe kama unaishi katika malengo ya Tanzania Yetu. Tembelea Tanzania Yetu "Friends of Magufuli"
Tanzania Yetu "Friends of Magufuli" kuweza kuijua vyema na uunagane nasi katika kuijenga tanzania Yetu kiuchumia n.k
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Pombe Magufuli, akiwa na Mkewe Mama Janeth Magufuli kushoto katika picha ya kumbukumbu na Waziri Mkuu Mstaafu Edward Lowassa aliyeambatana na Mkewe Mama Regina Lowassa nyumbani kwa Rais Dk. Magufuli.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.