tz yetufom
Member
- Jun 18, 2020
- 10
- 21
Andalio la Somo la Mh. Dkt. John Pombe Magufuli limesheheni ubunifu na maarifa ya kutosha.
Kaziiendelee Mitanotena
Kaziiendelee Mitanotena
Ni vizuri kama hujui hata 'conception of lesson plan' ukae kimya
Inatudharirisha sana sisi walimu. Hatujawahi kuwa na andalio wala lesson notice ya kaliba hiyo.
Nimekatishwa tamaa sana kama duniani bado kuna maandalio kama hayo ila Sisi walimu hatujawahi kuwa na kitu cha namna hiyo.
Narudia tena hatuna kitu cha namna hiyo na kamwe usifananishe Maandalio ya Somo ya professional teachers na mambo ya ajabu ajabu
Sijaelewa umeandika nini?Umelenga kuandika nini ndugu msomaji wa uzi huu? Nimejaribu kurudia rudia nimeshindwa kupata muunganiko wa ulitaka kuzungumza, unaweza kurudia ili ueleweke?
Sijaelewa umeandika nini?
Unaweza kurudia ulichoandika labda naweza kukupata unamaanisha nini?
Husomeki mkuu
Wewe unaonaje kitu usichokielewa?Uliwezaje ku comment kitu usichokielewa? Mimi sijaelewa ulichokiandika ndiyo maana nimekutaka urudie, kama huwezi itatosha kuhitimisha kuwa hukuwa umeeleww hata ulichokiandika