Kijana wa kitanzania aliyefahamika kwa Jina moja la Dickson aliuawa kwa kupigwa na jiwe na mtanzania mwenzake jana na kuporwa kiasi cha pesa kipatacho R12000.
Akitangaza msiba huo. Katibu wa umoja wa watanzania cape Town (TAC) alisema muuaji huyo alifanya tukio hilo kwa kushirikiana na mkewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.