Daah nimefungua mAljazeera sahivi nikakumbana na hiii kit. Aiseee nimestuka. Hii inamaanisha nini wadau?
Si maana yake China na Urusi wako tayari ku defend allies wao kweny lolote lile.
Urusi na China wamenisikitisha kwa kweli
which means kale kamdudu ka North Korea anytime marekani akitaka...
we aspirin sijui panadol toa habari zako hapa tafadhali, usichoelew hapo kutoka kw mleta mada ni nini? unasema huelewi uhusian wa tukio la huyo dad a kudhalilishwa name chuo husika?kwani labda tukio limetokea wapi mfano?ushaambiwa limetkea mazingira ya hicho chuo 'x' mana na unaambiw sio mara ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.