Recent content by tyc2

  1. T

    JamiiForums Tanzania Update:- Msimu wa korosho na minada ya korosho 2024/25

    Shukrani kwa updates Naona bei baadhi ya maeneo inazidi kuporomoka kwa kasi Kwa muwekezaji 'kangomba' hapa ndo unatafuta faida ya tsh 500 kwa kilo ikizidi sana labda tsh 1000
  2. T

    JamiiForums Tanzania Tunaposema Hakuna Marefu yasiyo na Ncha muwe Mnaelewa, Mwenzio akinyolewa wewe Tia Maji

    Punguza pumba mkuu Kwani target ya Chadema ilikuwa kumuondoa JPM au CCM..!??? Kafa JPM, ila CCM bado ipo madarakani
  3. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Viongozi wangu wa Simba tusiende Kigoma kuikabili Mashujaa kitoto, jamaa wako vizuri msimu huu

    Mashujaa wapo vizuri aisee Ile foward wao mweusi yenye upara inaitwa Ismail Mgunda ni hatari aisee,, ana nguvu, speed, good Ball control, mzuri chini mzuri juu kwenye kuruka, lazima achungwe sana Pia wapo wasumbufu kina Seif Rashid Karihe, Hassan Ali na Stambuli mzee wa kazi chafu pale kati...
  4. T

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi: 1995 Mkapa vs Mrema, 2005 Kikwete vs Mbowe, 2015 Magufuli vs Lowassa na 2025 Dkt. Samia vs Tundu Lissu

    Uchaguzi wa 2005 JK vs Mbowe, Mbowe hapa hakuwa mpinzani mwenye nguvu, Mbowe was too soft, hakuwa na umaarufu wa kutosha kwa kifupi Mbowe na Chadema walikuwa wa kawaida sana sana Upinzani mkubwa 2005 ulikuwa kati ya JK vs Prof Lipumba Hapo ndo vumbi lilitimka
  5. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Maroon Tchakei ni mali nyingine ya maana kabisa ikisajiliwa Simba dirisha dogo

    Hakuna mchezaji ligi yetu anaitwa MAROON Tchakei SBS ina mchezaji anaitwa Marouf Tchakei Marouf Tchakei ni bonge moja la #10, ana kasi, anajua kuficha mpira (possession skills), anajua mipira iliyokufa faulo&kona Simba walishaongea mpaka na agent wake msimu uliopita ili wamsajili lakini...
  6. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Selemani Mwalimu(25) leo tena amefunga goli lake la 6️⃣ ndani ya NBC Premier League,

    Huwa nafurahi sana nnapoona mzawa anaongoza ktk mbio za ufungaji iwe ni NBCPL au Azam Federation Safi sana Selemani Mwalimu
  7. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kamati ya Usajili Simba SC waondoeni kina Kibu, Mutale, Ahoua, Balua, Kapombe na Shabalala. Leteni wachezaji wanaojielewa

    Ukiona beki za pembeni hazipandi basi ujue hayo ni maelekezo ya Kocha Kumbuka Yanga eneo lao kiungo na ushambuliaji wana watu wenye kasi kina Pacome, Azizi, Maxi, Dube, hvyo beki za pembeni zikiwa zinapanda panda hovyo alafu ikapigwa counter utaadhirika
  8. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uongozi wa Yanga ujitafakari

    Hii sasa ni kuifedhehesha nchi yetu aisee Halijapoa la Okra, limeibuka la Konkon Ndani ya miezi michache tu barua kutoka FIFA zimeleta madai ya 1. Gael Bigirimana 2. Luc Aeymael (aliyekuwa Kocha wa Yanga) 3. Lazarus Kambole 4. Okra 5. Hafiz Konkon 6. Barua nyingine ilikuja mwezi APRIL baada...
  9. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba isiposhinda Derby ya tarehe 19 itakuwa ni uzembe mkubwa sana kwao

    Nyuma mwiko si ana kikosi kipana, mashaka ya nn sasa Tena mkamlaghai hadi Clatous Chama asisafiri na National team kurudiana na Chad asingizie ana family problems
  10. T

    JamiiForums Tanzania Hongera Juma Jux kwa kufikisha viewers million 100: 'Enjoy' ndio wimbo bora wa mwaka 2023

    Hio ndo faida ya kufanya collabo na our international artist Diamond Platnum Beat kali S2kizzy, lyrics, flowing style na dancing style imeipeleka video worldwide
  11. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rais wa Brazil yuko sahihi, kwanini Waziri Jr Shemtembo hakucheza?

    Mkuu mbona swali langu ni rahisi sana Nitajie nchi moja África katika michuano either ya Afcon au FIFA games inayotawala kisoka huku ikitumia local players (wanaocheza ligi ya ndani ktk nchi husika) wake na sio wale wanaotokea Vilabu vya Ulaya & Asia Mind you kwa mujibu wa CAF national team...
  12. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rais wa Brazil yuko sahihi, kwanini Waziri Jr Shemtembo hakucheza?

    Nimekutajia mataifa ya África yanayofanya vizuri kwenye michuano ya kimataifa na wanavyobebwa na uwepo wa wachezaji wao kutoka Ulaya na Asia Sasa nitajie nchi yoyote ya África inayotamba kwenye Afcon na FIFA games inayotumia local players wake wanaocheza ligi ya nyumbani tu
  13. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rais wa Brazil yuko sahihi, kwanini Waziri Jr Shemtembo hakucheza?

    Ni kweli Wachezaji wazuri tunao, na ili waimarike na kuwa wazuri zaidi kiasi cha kuisaidia Starz ni lazima waende nje ya nchi
  14. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rais wa Brazil yuko sahihi, kwanini Waziri Jr Shemtembo hakucheza?

    Hujui mpira wewe, unabwabwaja tu Congo DR wapo bora sana kwasbb kikosi chao kati ya wachezaji 24 ni wawili tu wanacheza ligi za África,, Inonga na Mayele (anayeanziaga benchi mechi nyingi) waliobaki 22 wote wanacheza Ulaya na Asia , quality ya wachezaji ipo juu kuliko sisi Ukiangalia mataifa...
  15. T

    JamiiForums Tanzania Kila nyakati na majira yake! Thamani yako itakoma ukitoka kwenye cycle

    Na Karma hii usifikiri inaenda kwa viongozi wa Serikalini walio madarakani tu bali hufika mpaka kwenye vyama vya upinzani Kwahiyo tutegemee siku Karma ikafika mpaka kwa familia ya boss wenu Mbowe kwa damu ya Chacha Zakayo Wangwe
Back
Top Bottom