Sio tabu ndio kitu unashindwa kujua wadada tuna tabia moja endapo ukija kwangu bila malengo na mimi ukanichukulia me mtu wa starehe yaan hyo ni nafas kubwa sana kuitumia ili kutimiza malengo coz hmn wanaume wanao jisahau kama wapnda starehe ujisahau sana ndo maan unakuta mtu ana mke lakin bdo...
Kudanganya kupo i hope ata wewe usha danganywa tena mara kibao tu but kama ananidanganya na mimi namdanganya so tunadanganyana sote coz mimi uwa nakuwa na mtu kutokana na yeye anavo nichukulia ndo na mimi nachukulia ivo ivo so kama yeye nanichukulia mimi kama mshauri katka kutengeneza maisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.