Nimeipenda biashara ambayo umeisema juu ya oil chafu hivyo ninaomba uweze kunisaidia location ya viwanda Ili nami nifanye investigation juu ya hili.
Pili naomba kuuliza ,kwenye viwanda inapelekwa oili ikiwa tayali au ninachotakiwa kupeleka ni izo taili tuu na kuuzia kiwanda? Asante Sana Kwa...
Hi guys habari, naomba mwenye kujua lolote juu ya biashara ya vyombo vya plastic ivi vinavyouzwa mitaani Kwa Bei ndogo kabisa ,Kuna mtu anahitaji kufanya lakini hajui A B C D zake, yupo dar ,
Huuzwaje Kwa Bei ya jumla, vinapatikana wapi na faida yake ipoje? Hua naona watu wakiuza Hadi bukubuku...
Em tusemni ukweli,ivi mwanaume hakutafuti siku mbili ,akituma labda n kisms kimoja Cha usiku mwema, hajui kutoa ata ela ya vocha ,hajui Wala hajali lolote kuhusu wewe na yupo busy still anasema anakupenda, huo n upendo? Mawasiliano yananguvu mno aisee
Mimi sipo Ivo , nipo charming lkn nikiwa na watu nilowazoea na kama sijakuzoea naweza kukupa hi imeisha iyo issue n kuchangamana , marafiki sjui eti nipo home niende Kwa majirani kupiga umbea , mazoea zoea ndy siwez so nikiwa pekeangu naenjoy zaidi.
Ndg nawasiliana nao poa tu
Hee ,wewe ni Mimi kabisa[emoji849] Hadi nishazoea najionea kawaida, sichangamani na watu yaani naenjoy kukaa pekeangu,nikitoka kwenye mishe zangu n ndani Hadi majirani wanaweza his sipo , n mie na simu nikichoka kulala yaan kuwa free Hadi mtu nimzoee Sana , basi Kama hio ni shida nahis nipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.