Recent content by twilumba hilo

  1. T

    Je wewe ni mbaya? jua dalili za mdada mwenye shepu na sura mbaya

    Wote tumeumbwa kwa sura na mfano wa mwenyezi mungu,sasa huu ubaya na uzuri wa binadamu wenzenu mnautoa wapi.
  2. T

    Wanaoolewa ni darasa la saba na form 4

    Waambie @ demba na hatuachi kusoma et kisa kuolewa, wakae mbali shule kwanza, na nnavojua heshima ya mke ni tabia ya mtu co elimu wala nin, kwa hyo tuishie la 7 na 4m 4 ili mtutawale vzr.
  3. T

    Malaria sugu inanitesa! Dawa gani itanipa tiba ya kudumu?

    Unapoulizwa dawa ulotumia mara ya mwisho ni kwa faida yako, kumbuka kuna wengne dawa zenye sulphur zinawadhuru.
  4. T

    Mwanangu jifunze haya kuhusu mwanamke

    Hakika ukiyafuata hayo, hutokaa ujutie ndoa yako,ila no 7 mh!
Back
Top Bottom