Mzee wangu kwanza pole kwa yaliyokukuta. Ila mpaka hapa nilichogundua ni wewe kumwamini sana mwanamke. Kosa kubwa sana hilo. Hata Adam alifanya kosa kama hilo kumwamini sana Hawa hata akakubali kula tunda alilokatazwa na Mungu. Pia Mungu alituamrisha "kuwapenda wake zetu" (sio kuwaamini), na...
It seems unamatatizo makubwa kuliko huyu mleta mada. Otherwise usingemuattack namna hii. Pole na utafute wataalam wakusaidie kabla haijawa mbaya zaidi.
So unataka kutuambia pisi kali tuzipite kama tunaaga maiti? Haiwezekani. Mungu alisema kabisa amewaleta kwa ajili yetu, kama vile alivyoleta vitu vingine vyote tuvitawale.
Kwanza nshakupenda mimi 😁😁😁
Mambo ya fainali niachie mwenyewe 😂
Ijumaa hii Simba ataanza kampeni yake ya kutinga robo fainali ya CAF CL kwa kumenyana na AS Vita Club ya DRC katika uwanja wa mashujaa pale Kinshasa. Pambano la mwisho uwanjani hapo alipoteza kwa 5–0 lakini mambo mengi yamebadilika katika vikosi vya timu zote mbili. Vita Club waliuza wachezaji...
Kusinzia kitu gani wabunge wenye shuhuli yao huwa wanalala kabisa. Hata hivyo wale ni team ya soka na kazi yao ni uwanjani kama walivyofanya leo pale Jamhuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.