Wadau, ninatafuta moja ya magari tajwa hapo juu! ila zaidi napendelea Swift! liwe na cc si zaidi ya 1,400! liwe lina hali nzuri! nina milion tano na laki tano tu! mwenye nalo anipm picha zake! Ahsante
Kwa maana hiyo ni kuwa hata watu wanaosoma vyuo vingine ambavyo hujavitaja hapo kama UDSM na Mzumbe hawafai kufundisha vyuo hivyo wewe ulivyosema vinafundisha utendaji! kwa kuwa wao walipokuwa chuo hawakujifunza utendaji bali kusoma kwa nadharia. Sasa mtu ambaye hakujifunza utendaji...
Salaam ndugu zangu.
Ni juzi tu UDOM wametoa majina ya watu wa kwenda kufanya usahili kwa kada za wanataaluma na waendeshaji. Kilichonifurahisha kuhusu UDOM kwa mara hii ni hiki; wametoa mambo ya ubaguzi wa vyuo, kwa kada za wakufunzi wameita watu waliokuwa na vigezo kutoka karibia vyuo vyote...
mwaka jana tutorial assistant walikuwa wanapata 1,468,000! Sijui kwa sasa wanapataje baada ya ongezeko la mshahara la mwezi wa saba! Nenda kafanye kazi, ukipata masters utapata zaidi ya 2M
Ndugu Mussa Mujule mimi nimesema mtu anayetakiwa awe masters kati ya zile nilizozitaja. ni kweli kuwa kwa Tanzania hakuna chuo kinachotoa masters ya accounting pekee ila mzumbe university inatoa masters of science in accounting and finance. Pamoja na kuwa Tanzania hakuna chuo kinachotoa masters...
Kwa vyuo vinavyotoa wahitimu wa uhasibu huwa vinategemea wanafunzi wake wapate exemption kutoka katika bodi yao ya uhasibu (NBAA) pindi wanapomaliza na kutaka kufanya mitihani hiyo ya bodi. NBAA uvitaka vyuo usika kuwa na staff wenye uwezo wa kuwafundisha watu masomo ya uhasibu vizuri ili waweze...
Wapo wenye BAF, CPA (T) + MSc. serikalini na wanalipwa TGS D, wapo wenye BAF tu wanalipwa hadi 3M. Bahati za wanadamu hazifanani, wapo wanaoona 1.5M ni kubwa. Na kwa Tanzania hapa hata kwenye vyuo vikuu vya umma Mshahara wa assistant lecturer unakaribia 2M. Kwa hiyo bado jamaa wamejitahidi. Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.