Mtu mwenye ushungi hajui mambo ya biashara? Sura nacho ni kigezo za mtu anayejua biashara? Amekuwa Naibu Mkurugenzi Mkuu muda mrefu huoni kuwa huo uzoefu ndio unambeba? Mods thread za namna hii zinapandikiza udini, zio za ku-entertain.
Hii JF sikuhizi imevamiwa na watoto, kwamba DRC haina mchango wa kiuchumi kwa Tanzania? Unajua kuwa DRC ni mshirika wetu mkubwa wa Bandari ya DSM? Nyie watoto mbaki FB huko.
Serikali iliyoficha kifo cha Rais Magufuli ilikuwa ni Serikali ya Awamu ya Tano na sio Serikali ya Awamu ya Sita. Serikali hiyo haipo tena, hivyo aulizwe Hayati Magufuli, Rais Samia hakuwa consumer wa intelligence information.
Hizo stages haziwezi kuwa fupi kutokana na maendeleo ya sayansi na teknolojia? Kama unaamini hizo stages kuwa inabidi zifuatwe, kwanini ushindwe kuamini hao walioziweka wanavyotwambia kuwa chanjo ni salama?
Kimsingi kundi hilo linapinga kwa maslahi binafsi kwakuwa limewekwa nje ya maamuzi ndani ya Serikali na Chama.
Kitendo cha Polepole kuendesha kampeni za kuipinga chanjo inayopigiwa chapuo na Rais na Mwenyekiti wake wa CCM ni kiashiria kuwa ana chuki binafsi na uongozi wa sasa. Mtu muungwana...
Kwahio kutonunua kwao kutaondoa wao kutengeneza magari? Halafu unaposema miaka 60 Tanzania haijawahi kuwa na vita mbaya, unajua kuwa Tz imepigana vita mbaya 1978? Unajua kuwa Tz imepigana vita kuzikomboa nchi za Kusini mwa Afrika? Utakuwa umezaliwa 90s wewe sio bure.
Umelaaniwa wewe sie tuko vizuri, Waziri kusema tutanunua gari kutoka Rwanda imekuwa nongwa? Yani uko tayari tununue kutoka Japan ila sio kwa majirani zetu ambao nao wanatuungisha kutumia bandari yetu.
Tunakubaliana na Serikali tozo zibaki ila ziangaliwe katika utozaji. Kusema ziondolewe kabisa ni kuihujimu Serikali ya Mama Samia imeshindwe kupeleka huduma za jamii kwa wananchi na kisha waanze kuisema.
Umemalizia vzr tusubiri tuone. But hao waliotuletea chanjo ya Homa ya Ini ndio waliotuletea chanjo ya Corona. Sioni kwanini watudanganye wakati kwenye Homa ya Ini walitwambia ukweli.
Hakuna sarakasi, chanjo haizuii Corona tumeishaambiwa hivyo. What it does is kupunguza athari ambazo ungepata iwapo utaambukizwa Corona tofauti na mtu ambaye hajachanjwa. Ndio maana wanasema ni hiari wewe mwenyewe utaona, na Serikali imetoa kipaumbele kwa wazee, na wenye magonjwa sugu coz haya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.