Recent content by Tuwa SautiYaHaki2021

  1. Tuwa SautiYaHaki2021

    GE2025 Ukweli usioufahamu kuhusu wanaosema wataandamana

    Watanzania si kwamba hawawezi kuandama na sikama hawapo tayari kuandamana kwa hilo lisikuoe imani, sababu kuu kwa sasa itakayokwamisha maandamano ya tarehe 29 yasifanikiwe kama inavyotarajiwa ni kutokana wengi wawananchi hawapati taarifa sahihi yaani vyombo vyetu vya habari havitoi habari...
  2. Tuwa SautiYaHaki2021

    Watanzania tunachukuliwa Kama maboya fulani hivi. Mtu anatamka kwamba ntakupoteza ndani ya siku 90 watapiga kelele na wasahau

    Mafwele alipotajwa na Sativa kuhusika katika kutekwa kwake serikali kupitia jeshi la polisi lilimpandisha cheo nakuwa ZCO, hivyo mimi na wewe inabidi tuisifu na kuipongeza serikali kwa jambo hili zuri walilolifanya kwa sababu ni hatua kubwa ya kulinda watuhumiwa wa utekaji ili wasizulike kwa...
  3. Tuwa SautiYaHaki2021

    Watanzania tunachukuliwa Kama maboya fulani hivi. Mtu anatamka kwamba ntakupoteza ndani ya siku 90 watapiga kelele na wasahau

    Asante kwa swali lako, jibu ni kwamba kuwataja hadharani Itasaidia kuondoa taharuki kwa jamii maana ukweli unapodhihiri uovu hujitenga, pia wakitambulika itawarahisishia jeshi la polisi kutekeleza majukumu yao. Ikiwa mamlaka zisipowachukulia hatua umma utajiridhisha kwamba serikali yao...
  4. Tuwa SautiYaHaki2021

    Watanzania tunachukuliwa Kama maboya fulani hivi. Mtu anatamka kwamba ntakupoteza ndani ya siku 90 watapiga kelele na wasahau

    Mi nadhani kwa hali ilivyo sasa na matukio haya yanayoendelea ilikuwa ni muda sahihiwa hawa wasiojulikaana kitajwa hadharani ili kuwalinda wale ambao bado hawajapotezwa
  5. Tuwa SautiYaHaki2021

    GE2025 Mpina ashinda kesi kuenguliwa kuwa mgombea Urais

    Swali la kujiuliza ameruhusiwa kurudisha fomu kwa tume ya uchaguzi je hiyo tume italipitisha jina lake ili agombee hiyo nafasi ya urais mwenye mamlaka ya nani agombee ni tume na si mahakama
  6. Tuwa SautiYaHaki2021

    GE2025 Serikali ya Tanzania inavyokiuka mkataba wa Geneva

    Ukituliza akili kwa lengo la kutafakari utagundua kuwa hii kesi inayoendela kwa sasa ni kama Polisi dhidi ya Jamuhuri na si Jamuhuri dhidi ya Tundu Lisu. Maana yake polisi inatushataki wananchi kwa kupitia Tundu Lisu na kitu kinachonifanya niamini hivyo kwa sababu inakuwaje mimi Mwananchi...
  7. Tuwa SautiYaHaki2021

    GE2025 Huyu Gerson Msigwa anapambana Sana, jamaa anajituma mno kwenye mazingira magumu

    Msigwa ili bidi ajiulize huwenda wale mashabiki wasimba ni watumiaji wa mtandao wa Jamiifirums hivyo wanahasira naye kwa kuwafungia mtandao wao pendwa na kusababisha taharuki ya kujaza mi VPN katika simu
  8. Tuwa SautiYaHaki2021

    Humphrey Polepole popote ulipo, nakuomba fanya hivi

    Nadhani hujamfatilia Polepole tokea mwanzo au kama unamfatilia basi humalizi katika yale anayoyaeleza, yote unayomshauri alishayasema na kuhusu Rostam hatajibizana naye tena ameshasema hilo, kuanzia wiki ijayo ataanza na afya na jinsi mifumo ya bima ya afya ilivyo ya kihuni lakini pia amesema...
  9. Tuwa SautiYaHaki2021

    Siku tukimtumia Polepole vizuri, Nchi yetu itapiga hatua vizuri sana

    Asante kwa maswali yako nikianza na la kwanza. Kama ulimfatilia Polepole utaungana nami kuwa lengo lake halikuwa kuwataja waovu au kufichua hayo machafu kama unayosema, Polepole alidai kuwa mchakato ndani ya CCM wa kumpata mgombea urais Mama Samia haukuwa wa haki kwa maana umekiuka desturi zao...
  10. Tuwa SautiYaHaki2021

    Siku tukimtumia Polepole vizuri, Nchi yetu itapiga hatua vizuri sana

    Ni kweli wewe huwezi kumuelewa Polepole kwa sababu huna unachokipata tofauti na kupewa na hao anaowatuhumu, Polepole anawajua wote ila hataki kuwataja kwa sababu anasubiri mtu ajioneshe mwenyewe ili Watanzania wajue machafu yake. Je ulijua kama Wasila alishawahi kumtusi baba wa taifa mwalimu...
Back
Top Bottom