Recent content by Tuvulile

  1. T

    GE2015 Lowassa: Viwanda bila elimu ni sawa na kazi bure

    Acha kujichanganya kijana, elimu bora haipimwi kwa wingi wa majengo(vyuo) wala kwa idadi ya wahitimu. First priority ni kuimarisha elimu. Hivyo viwanda si vitakufa tu kama vilivyokufa awali!?. Elimu bora inahitajika, tupate graduate wengi wenye ubora wa kusimamia viwanda vyetu na kuweza...
  2. T

    Kusamehe deni la HESLB ni sawa?

    Najua una lengo la kuponda sera za Ukawa. Ungejitahidi utafute issue nyingine sio hii. Hizo scenario za 1ml vs 35ml ni less than 0.5%. Wanufaika wa misamaha hii wengi wetu(madaktari, walimu, wanasheria, mainjinia) hatuna vipato vya kutosha. Pia kuna idadi kubwa ya wahitimu hawajapata ajira...
  3. T

    Lowassa Afunika Iringa

    Wenyewe walishasema hujafa hujaumbika!. Kesha ukiomba unachopenda kukisikia ktk swali lako hili kisitokee ktk familia yako.
  4. T

    Tahadhari kwa Wananchi na hisa za Mkombozi bank

    Upo sahihi mkuu !.. Ongeza na Maendeleo bank ya KKKT.
  5. T

    Tunamiliki gari ili kupata unafuu wa maisha au kujitwika umasikini?

    Huyo kweli bongolala!.. Scania 100 unazilinganishaje na nyumba ya kuishi?. Hamnazo kabisa..
  6. T

    Housegirl kufanya kazi hadi saa nane za usiku, mshahara 30,000/=, ni haki?

    Mtoa post funguka vizuri ueleweke!. Huwezi kutumia kigezo cha HG kuamka mapema na kulala late pamoja na mshahara wa 30,000 kuwa ananyanyaswa. Kabala hujakurupuka kuja hapa ungeuliza masaa mengine anafanya nini?.Mfano HG wangu huwa tunaamka nae saa kumi alfajiri. Wakati ss tunajiandaa na...
  7. T

    Huyu ndiye askofu Gwajima ninayemfahamu, Wakristo jihadharini naye

    Mtoa post unaonekana mjanjamjanja lakini umeshindwa kabisa kuuficha ukweli kwamba unatumika. SOMA VIZURI POINT NO. 5 & 8. eg Namba 8 inaonesha kwamba washauri/walinzi wa Gwajima ni wanyenyekevu sana kwake. Lkn kwenye namba tano umedai hao hao washauri/walinzi wanaurasimu kwa wanawake...
  8. T

    Rafiki yangu Daktar leo kakataa kwenda kaZini

    Yepi hayo? Ambulance au? ulishawahi kuona gari la hospitali ya serikali ambayo sio ambulance?.
  9. T

    Rafiki yangu Daktar leo kakataa kwenda kaZini

    Sasa huyo rafiki yako kakataa au kashindwa kwenda kazini?. Hiyo hospitali yuko yeye peke yake?. Bila shaka kuna manesi, wataalamu wa maabala, na madkr wenzake waloshindwa pia. Je hao wote watumiwe usafiri?..
  10. T

    Star TV acheni upotoshaji kuhusu Mahakama ya Kadhi

    Ndugu nadhani huelewi unachokitaka. Likalikoma hilo watz wengi tutatseka kwa kukosa huduma za afya kwa gharama nafuu. Sera ya serikali ktk afya iko wazi, kwani kuna misikiti imeanzisha hospitali pahala pasipo na hospitali ya serikali na serikali imegoma kuifanya hospitali teule!?..
  11. T

    Kumuona Daktari Tsh.10,000/=

    Kwa hali ilivyo sasa ukiugua/kuuguliwa ni stress tupu sababu ya gharama na urasimu. Consultation fees zitaendelea kuongezeka kila kukicha.. Hiyo 10,000 nadhani ndo the lowest fee kumwona specialist Tz.. WAY FORWARD..... Serikali inatakiwa kuweka utaratibu utakaowawezesha watanzania wote wawe...
  12. T

    Gharama kuunganisha umeme wa majumbani bure mwakani

    Haaa!. sasa salio linatiwaje humo kwa mita za luku..
  13. T

    Viungo vya binadamu (idadi kubwa) vyaokotwa Bunju-Machimbo

    Kama ni Muhimbili, kwa nini hawajatumia gari lenye plat no ya shirika la serikali??
  14. T

    Viungo vya binadamu (idadi kubwa) vyaokotwa Bunju-Machimbo

    Kuna uwezekano hayo mabaki yametolewa from one of the medical school in Dar ingawa sidhani kama kuna Chuo kinaweza kutumia idadi kubwa ya cadava kiasi hiki. Hakuna daktari asiepitia hatua hii. TATIZO ni hao waliokuja kutupa hapo. Kwa kawaida baada ya mafunzo mabaki yote huwa handled with...
Back
Top Bottom