Sisi tusio na uwezo tutakufa au cancer itafika grade mbaya wakati tumeshafika hospital imagine process na kuhitaji tu urudishiwe hela itakavokuwa ngumu kwa nini watuandikie MRI wakati wakijua kipimo kibovu na upewe control number ulipie ukifika sehemu ya kupima unaambiwa machine mbovu kwanini...
Wakuu Na mgonjwa Ocean road hapati tiba kwa sababu Machine imeharibika ni week ya pili inakata kipi kinashindwa kutatuliwa ifanye kazi na malipo wanapokea watu wa bima wanapelekwa kupimiwa mhimbili kwanini wa cash nao wasingewafanyia hivo......... sikumpenda Jiwe ila namkumbuka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.