Ndugu zangu suala la ndoa ni jambo kubwa sana tafauti na tunavolifkiria, kwa iyo tunapotaka kulingia lazima tuwe sirius, huwezi kuwa wewe una mila zako, ukataka kumuowa ambae mila zako kwake ni matusi, kwa mfano utamkuta mchaga anataka akamuowe au aolewa na mpemba, sote tunajua kama mila za...