Recent content by TURUFUDUME

  1. T

    Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar aliyefukuzwa kuwa Mgombea Mwenza

    Baada ya UKAWA kumsimamisha lowasa kuwa mgombea urais kwa tikeki ya UKAWA, pia umoja huo umemteu aliekuwa mwanasheria mkuu wa serekali ya Zanzibar mh Othman masoud kuwa mgombea mwenza wa ukawa kesho panapo majaaliwa mh Othman masoud atachukuwa kadi ya chadema ili awe mwanachama ili apate kugombea.
  2. T

    Tunanua gari za ajali na kuuza spea za magari

    ni gari gani mkuu? ebu nipigie cm tuongee 0657617671.au 0773617671.
  3. T

    Tunanua gari za ajali na kuuza spea za magari

    kwa yeyote alio na gari na akawa tayari kuniuzia basi anipigie 0657617671 au 0773617671, sio unakoment tu, au km lengo lako tukujuwe km nawewe una gari OK.
  4. T

    Tunanua gari za ajali na kuuza spea za magari

    Tupo Ilala Lindi na shauri moyo dareslam, tunanunuwa gari zilizopata ajali au mbovu ambazo mwenyewe zimemshinda au hataki kuhangaika kuzitengeza km unayo au unamfahamu mtu ambaye anayo wasiliana nasi kwa 0657617671 au 0773617671, NJOO TUSAIDIANE MSTATIZO.
  5. T

    Tunanua gari za ajali na kuuza spea za magari

    Kama kichwa cha habari kinavo someka, kwa yeyote alio na gari iliopata ajali na akawa hana mpango wa kuitengeneza tena, mimi nanunuwa na kuikata kata kwa ajili ya kuuza spea mimi nipo dareslm ilala Lindi na shauri moyo, namba zangu ni 0657617671 au 0773617671. Na wale watu wa bima km wamo humu...
  6. T

    Tunanua gari za ajali na kuuza spea za magari

    Mimi ni kijana nilieajiriwa katika duka la spea, lakin muajiri wangu kaamuwa kuachsna na biashara ya spea na ameamuwa kufanya biashara ya magari kutoka japani, hivo nimepewa mgao wangu (5 milion) na fremu pamoja na baadhi ya spea nimeachiwa hivo nimeamuwa ninuwe magari ya ajali hapa hapa bongo...
  7. T

    CHADEMA 'Pasua kichwa' UKAWA

    Chukuwa gwara a.k.a 5, umenielewa vya kutosha broooooooooooo.
  8. T

    CHADEMA 'Pasua kichwa' UKAWA

    CHADEMA kinaendelea kujifanya Mungu mtu ndani ya UKAWA, hii imetokana na chama hicho kulazimisha lazima kiwaburuze vyama vyengine ndani ya UKAWA, hii imekuja baada ya CHADEMA kutaka kitoe rais na wabunge wengi jambo lililopingwa na vyama vyengine ambavyo vimetaka aidha CHADEMA watowe rais na...
  9. T

    CHADEMA kujitowa UKAWA

    eLete yako iliopasi, Nakwambia UKAWA wamekataa " KUFUMBUWA NGE WAKAFUMBATA TANDU" KUIACHA CCM WAKAIKUMBATIA CHADEMA PUNDA YULE YULE TAFAUTI SOJI TU.
  10. T

    CHADEMA kujitowa UKAWA

    Muda wowote kuanzia sasa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kitajitowa kwenye umoja wa katiba ya wananchi Ukawa, hii imekuja baada ya chama hicho kulazimisha lazima katibu mkuu wake ateuliwe kuwa mhombea urais ata kwa nguvu japo hakubaliki kwenye umoja huo, alionielrza hayo amenambia km...
  11. T

    Vurugu Zanzibar: Wanachama 2 wa CUF wapigwa risasi kituo cha kuandikishia Wapiga Kura - Makunduchi

    Watu watatu wamepigwa risasi huko makunduchi Unguja, walipokuwa wanajaribu kuwazuia mapandikizi wasiandikishwe walioletwa na magari ya vikosi vvya SMZ, majeruhi wamewahishwa katika hospitali ya mnazi mmoja na hali zao ni mbaya sana,. my take Haji Omar kheri na wenzako munajiskiaje munapo kaa na...
  12. T

    Watanzania alieturoga kashakufa

    Ama kweli watanzania alieturoga sasa ni marehemu na alituroga kwa mzizi mkavu, baada ya watanzania kulalamika sana kupanda kwa dola dhidi ya shilingi yao, serekali sikivu ya ccm ikajuwa km afae kwa shira huna haja ya kumpa sumu, ndipo walipo amuwa kuja porojo la msururu wa watngazania mpaka...
  13. T

    Zanzibar kwaripuka, ni baada ya cuf kutangaza wagombea wake.

    Ni muda mchache tangu chama cha wananchi cuf kutangaza rasmi wagombea watakao kiwakilisha chama hicho katika uchaguzi mkuu hapo October katika nafasi za ubunge na uwakilishi katika majimbo yote ya Zanzibar, hali imekuwa mbaya kwa chama hicho cha upinzani baad ya kuwaangusha wagombea...
  14. T

    Kura yako ndio utu wako, ithamini.

    Ikiwa imebakia takriban miez minne tu kabla ya watanzania ya watanzania kupiga kura ili kucha madiwani, wabunge na rais wa jamhuri ya mungano wa Tanzania, nå madiwani wawakilishi nå rais wazanzibar kwa upande wa Zanzibar, nimeonaniwakumbushe wale wasiojielewa mana kuna mijitu haitaki kupiga...
  15. T

    Nina mtaji wa Milioni 5, nawaombeni msaada wenu wa mawazo

    Ni miongoni mwa wazee ( wajomba) kwa hio kwenye familia kuna km watu watatu hivi wameshafanikiwa kimaisha kwa hio wanataka kusaidia familia kwa staili hio.
Back
Top Bottom