Recent content by turbocharger

  1. turbocharger

    JamiiForums Tanzania Manyanyaso yanayofanywa na kikosi cha jeshi Airwing

    Hujaelewa posti umekurupuka mzee wekakidolekwenye tuzi utulize mshono
  2. turbocharger

    JamiiForums Tanzania Manyanyaso yanayofanywa na kikosi cha jeshi Airwing

    Tatizo sio mazoea jaribu kufikiria km 1 vs 2 tenabyenye foleni kubwa
  3. turbocharger

    JamiiForums Tanzania Manyanyaso yanayofanywa na kikosi cha jeshi Airwing

    Hapana unatembea mbele zaidi
  4. turbocharger

    JamiiForums Tanzania Manyanyaso yanayofanywa na kikosi cha jeshi Airwing

    Ukitaka kujua kweli raia eneo lile walikuwepo kihalali ni kwamba uwanja wa ndege wana mpango wakuwahamisha na wameshawafanyia tathmini kwajili ya kuwafanyia malipo na viwanja watapewa sasa ninavyofahamu ni kua mvamizi wa eneo huwa halipwi anaondolewa.
  5. turbocharger

    JamiiForums Tanzania Manyanyaso yanayofanywa na kikosi cha jeshi Airwing

    Si kambi ya jeshi ni mahala ambapo kumepakana wanajeshi na raia njia hutumika na watu wote
  6. turbocharger

    JamiiForums Tanzania Manyanyaso yanayofanywa na kikosi cha jeshi Airwing

    Kama unaijua njia inayoingia kwenda airwing sekondari ndio inayo zuiwa. Njia hiyo imetumika na raia tangu mwaka 1979 bila bugudha yeyote na ni njia inayoweka mipaka kati ya raia na jeshi kifupi imekua ikitumika na raia mda wote sasa leo hii unaposema mazoea je awali hapakua na jeshi. Na kwanni...
  7. turbocharger

    JamiiForums Tanzania SERENGETI: Askari Polisi afariki kwa kujirusha kutoka kwenye gari lililobeba mahabusu

    Ni mali zile mlizochuma wote si mali alizozikuta
  8. turbocharger

    JamiiForums Tanzania Manyanyaso yanayofanywa na kikosi cha jeshi Airwing

    Hata huku pia kuna eneo yamevamiwa na kuwekwa kibao vya jeshi ilhali ni maeneo ya raia wema tu
  9. turbocharger

    JamiiForums Tanzania Manyanyaso yanayofanywa na kikosi cha jeshi Airwing

    Tangu kuingia kwa mkuu huyu mpya wa kambi hii ambae ni Mtanzania wa visiwani kumekua na utoaji wa amri za kimabavu na uonevu kwa raia wanaoishi karibu na kambi hiyo na kuna tetesi kua wanataka kutuwekea fensi tusiwe tunatoka kabisa katika nyumba zetu na nia hii imekwishaanza kuonekana kwani...
  10. turbocharger

    JamiiForums Tanzania SERENGETI: Askari Polisi afariki kwa kujirusha kutoka kwenye gari lililobeba mahabusu

    Bwana ametoa bwana ametwaa. Bwana atapambana na watesi wetu Mungu amlaze pema anapostahiki . Ameen
  11. turbocharger

    JamiiForums Tanzania Manyanyaso yanayofanywa na kikosi cha jeshi Airwing

    Sisi wananchi tunaoishi maeneo Kipunguni karibu na kambi ya jeshi ya kikosi cha anga airwing Dar es salaam tumekuwa tukinyanyaswa sana na jeshi letu la wananchi wa Tanzania kwa kile kinachodaiwa kuwa ni AMRI KUTOKA KWA MKUU WA KIKOSI HICHO. Tumekua tukikatazwa wazi wazi kutokuitunia njia hiyo...
  12. turbocharger

    JamiiForums Tanzania Nahitaji engine ya Lister petter

    Ninayo piston tatu ya generator ipo vizuri sana
  13. turbocharger

    JamiiForums Tanzania Baada ya kumtolea mahari, kejeli na kiburi vimeonekana wazi

    Hiyo mahari nenda kamomboe mwafrika mmoja ale utumwani libya
  14. turbocharger

    JamiiForums Tanzania Nyumba kubwa inapangishwa gongo la mboto

    Ndugu nimeweka namba hapo piga simu sio kuongea tu na kukomaa na hizo whatsapp kwani simu yako si inaweza kupiga piga nikuelekeze sio kulalamika tu haisaidiii. Umeshaona mwenzako kakosoa kuhusu post yangu na nimemjibu badala ya kutafuta namna yakufanya unarudi kulekule i hope wewe huna nia nzuri
Back
Top Bottom