Hukumu kutoka ni kitu kimoja na kutekelezwa ni kitu kingine.The other arm of the state is deep rooted. Utekelezwaji wa amri ya mahakama unaitegemea serikali ku react upon. Huu mhimili mwingine (executive) ukibaki kimya amri ya mahakama inabaki pale pale ina hang as the enforcer is the...
Binafsi si amini katika kuonewa.Huyu bwana mkubwa alikuwa ana uwakilishwa mpana na mawakili wanne. Alipata nafasi ya kui-address mahakama na Upande wa pili walifanya majumuisho ya hoja zao. Mahakama ikafanya maamuzi kulingana na uzito wa ushahidi uliomo kwenye jalada na sheria za jinsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.