Mara nyingi mtumishi akisikia anahamishiwa Kyela anaona kama anapewa adhabu ni sawa na zamani ,wengi walikuwa wanaacha kazi wakisikia wanahamishiwa Lindi au Mtwara,lakini mara wafikapo Kyela na kukuta hali ya maisha poa wengi wao hawataki tena kwenda sehemu nyingine,hapa kyela usafiri wetu...
Kwanini nitumie picha za Google wakati mwenyewe naweza na naweza kutumia ubunifu wangu kupiga picha ninavyotaka mimi?vinginevyo nina wasiwasi kama unajua mambo ya photography.
Hayo mambo yamepitwa na wakati,mimi ni mpiga picha huwa nakwazika sana na hayao matanganzo ya kutopiga picha sijui Bwawa la mtera mara ukiwa unapita barabarani pale Mikumi,kwa dunia ya sasa ambapo ukigoogle tu na kutumia google,earth/map unaona kila kitu bwelele tena laivu sijui ni kipi kipywa...
Hii picha niliipiga kwa simu nilipokuwa jijini Atlanta Marekani,hapa ndio makao makuu ya ya shirika la utangazaji la CNN na pia pana hoteli maarufu inayoitwa OMNI HOTEL ,Atlanta ni kati ya majiji makubwa nchini Marekani .Leo nitazungumzia kidogo juu ya vijana ambao hawajawahi kufika Marekani na...
Hapana mambo tu yameingiliana hard disk yangu yenye picha ilianguka kwa hiyo haisomi,najipanga kuipeleka kwa mafundi waangalie kama wanaweza kuretrieve data zote,wewe una kamera gani?isije kuwa una kamera ya simu lakini,pia nimepost hivi karibuni picha za ndege ninaowapiga hapa Kyela sijui kama...
Maeneo ya Tegeta wapo wengi sana ,ni wapole na hutembea taratibu,nimewahi kuwapiga picha bahati mbaya hard disk yangu imekufa baada ya kudondoka chini.
Ni TZS
Ni TZS 100,000 ni nyumba ndogo inajitegemea ina jiko dogo,na sebule kubwa yenye makochi mawili na meza ya kusomea au kuandikia ikiwa na taa yake pembeni,nimeshindwa kuupload picha za sebule sababu faili ni kubwa na JF wana limiti na faili ambazo unaweza kuupload,pia kuna WiFi vyumbani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.