Tupilike Mwakajumba
Senior Member
- Apr 14, 2019
- 158
- 230
- Thread starter
- #321
House Sparrow-jina la ndege kwa hisani ya Mwalimu,mtunzi wa vitabu ,mpiga picha na mtaalamu ndege ndugu Mustapha Semeni Kayoka
AHSANTE MKUU, BEI GANI HIKI CHUMBA?Chumba cha kulala kwenye hoteli ya Ngonga Beach,iliyopo Ngonga Beach,Kyela,Mbeya
View attachment 1075074
Ni TZSAHSANTE MKUU, BEI GANI HIKI CHUMBA?
Ni TZS 100,000 ni nyumba ndogo inajitegemea ina jiko dogo,na sebule kubwa yenye makochi mawili na meza ya kusomea au kuandikia ikiwa na taa yake pembeni,nimeshindwa kuupload picha za sebule sababu faili ni kubwa na JF wana limiti na faili ambazo unaweza kuupload,pia kuna WiFi vyumbaniAHSANTE MKUU, BEI GANI HIKI CHUMBA?
Hapana mambo tu yameingiliana hard disk yangu yenye picha ilianguka kwa hiyo haisomi,najipanga kuipeleka kwa mafundi waangalie kama wanaweza kuretrieve data zote,wewe una kamera gani?isije kuwa una kamera ya simu lakini,pia nimepost hivi karibuni picha za ndege ninaowapiga hapa Kyela sijui kama umewaona.Kikolo mwaga mipichapicha bana ya Kyela,Tokyo, Kiwira kule, KK,Rungwe story nyingi sana watu tunasubiri picha usituchanganye mara Azania front mara twin tower hazipo Kyela hizi?
Tuoneage huruma wenzio
Ama mwenye camera kachukua tukuletee🤔?