Huyu mdudu gani wakuu?

Huyu mdudu gani wakuu?

Na mimi amepita hapa home juzi, nilizoea kuwaona kilimanjaro nimeshangaa watoto wananiita, kutoka nakutana na kitu kama hii hapa dar.
 
Ksafiri (kilugha)
Eti kwa sababu anapiga sana misele
Babu/bibi alikuwa anatukataza kumuua... Ukimuua umemuua bibi
so tulikuwa tunamchezea tu na kumuacha
 
Karunguyeye huyo
Ni dili kwa waganga.. dawa ya mapenzi

Mmoja buku tano mpaka saba
 
Na mimi amepita hapa home juzi, nilizoea kuwaona kilimanjaro nimeshangaa watoto wananiita, kutoka nakutana na kitu kama hii hapa dar.
Nyie ndio mmejenga Madale huko ambapo zamani zilikuwa hifadhi za taifa
 
Maeneo ya Tegeta wapo wengi sana ,ni wapole na hutembea taratibu,nimewahi kuwapiga picha bahati mbaya hard disk yangu imekufa baada ya kudondoka chini.
 
Anaitwa "Karunguyeye".

Hawa miaka ya nyuma nilikuwa nawaona sana mikoani hasa Tabora,na Dar walikuwa nadra sana kuonekana,ila ajabu Dar siku hizi nawaona mara kwa mara.

wanakuja na mabasi au malori.unajua viumbe vidogo na vya kawaida ni rahisi kusafiri bila kujua ikiwa kuna sehemu ya kujifisha
 

Hivi hizi shule za kata somo la biology ama elimu ya viumbe sio compulsory kama zamani? maana nashangaa ninyi vijana mliosoma hizi shule mnashindwa kutofautisha wanyama na awadudu. Mbona form one topic ya classification ndio ya kwanza kabisa ama ninyi mlisoma mitaala ya nchi gani?
 
Back
Top Bottom